Je profit margin inatakiwa iwe ngapi kwa capital ya 2M wadau ?
Hapo ndipo mnapofeli nyie wasomiJe profit margin inatakiwa iwe ngapi kwa capital ya 2M wadau ?
Hapo ndipo mnapofeli nyie wasomi
Mnaleta vingereza vingi kwenye mambo ya kujilipua
Kaka dm husemi mbonaNicheki mkuu.
Inbox husomi mbona
Hakuna ujumbe mpya PMInbox husomi mbona
Biashara gan hiyoInawezekana kupata zaidi ya Hiyo Elfu 90 kwa Wiki, Mimi nimewekeza Milion 4 Napata Mpaka Laki tatu kwa Wiki na Kila Siku sikosi 50 mpaka 70.
Unafanya biashara ganBOSS WANGU HYO PES NINYING SNA ME NLIANZ namtaji wa 1.5 na ss naingiza 460 kwa mwezi kwawil naingiza zaid ya 70 issue ndgo tu
ulo vzr sana sasa hiyo 300k kwa wiki ukijibana mwezi ni 1.2 tufanye 200k unaishi 1m inabaki unaongeza kwen 4m iwe 5m ndani ya miezi minne unakuwa na 10m safiiiInawezekana kupata zaidi ya Hiyo Elfu 90 kwa Wiki, Mimi nimewekeza Milion 4 Napata Mpaka Laki tatu kwa Wiki na Kila Siku sikosi 50 mpaka 70.
what works for me wont work for you dearNimeona wengi humu wanaishia kutwambia faida zao za wiki na mwezi na mtaji alio Anza nao .... Badala ya kutuambia ni biashara ipi
Mishe gani hiyo?
Kikawaida biashara ndogo faida isiyo na stress ni angalau 10% ingawa zipo zinazotoa mpaka 40% ila km unataka kufanya biashara bila kutingisha pressure ya mwili ww tegemea tu 10% ya ulichowekeza kwa mwezJe profit margin inatakiwa iwe ngapi kwa capital ya 2M wadau ?
Kama mimi tu mzee tuendelee kupambana mimi kabiashara kangu hua naigiz la na something kwa wiki kwamwez haipungui laki nneUnafany biasha gani
Bado.Vipi ulifanikiwa????
BOSS WANGU HYO PES NINYING SNA ME NLIANZ namtaji wa 1.5 na ss naingiza 460 kwa mwezi kwawil naingiza zaid ya 70 issue ndgo tu