Biashara ya Nafaka mtaji mkubwa faida kiduchu

Biashara ya Nafaka mtaji mkubwa faida kiduchu

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.

Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.

Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....

Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..

Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
 
Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.

Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.

Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....

Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..

Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Mkuu upo sahihi niliwahi kuifanya.Ni kati ya biashara ambazo sitarudia kuzifanya
 
Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.

Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.

Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....

Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..

Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Ni kweli faida n ndogo sana kwa kwel.. nshawah fanya business ya mchele hii nilikuwa nasafirisha tani 30 .. mtaji zaid ya million 30 afu faida 2.5 million.. ni upuuzi kbsaa... hapo ume hustle kupata hizo tani 30 si mchezo afu faida 2.5 million kwa mwezi.. nimechana nayo saiv nataka niamie kwenye kuuza madini.. broker..
 
Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.

Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.

Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....

Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..

Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Hujajua hesabu ya biashara ww vizuri hiyo 100 inalipa sana tafuta soko uwe unakimbiza kila week hiyo 300000 ukikimbiza kwa mwezi mara 3 yaani kila baada yasiku 10 utakuwa na 900000 kwa mtaji 6000000 ni sawa jali soko zaidi na mashamba zaidi
 
Ni kweli faida n ndogo sana kwa kwel.. nshawah fanya business ya mchele hii nilikuwa nasafirisha tani 30 .. mtaji zaid ya million 30 afu faida 2.5 million.. ni upuuzi kbsaa... hapo ume hustle kupata hizo tani 30 si mchezo afu faida 2.5 million kwa mwezi.. nimechana nayo saiv nataka niamie kwenye kuuza madini.. broker..
Bora uko kuna future mzee, ulikua unaeneo lako la kuuzia? Au ulikua unawapelekea wafanyabiashara?
 
S
Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.

Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.

Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....

Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..

Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Sio huko tu, miaka hii kila biashara faida ni ndogo sana, kikubwa kuhakikisha kukimbizana na mzunguko tu. Kwa mfano bati gage 32 unainunua hadi inakufikia dukani 17300. Afu unaiuza 18000, faida sh 700. Ktk mtaji wa 17300.
 
Back
Top Bottom