Biashara ya Nafaka mtaji mkubwa faida kiduchu

Biashara ya Nafaka mtaji mkubwa faida kiduchu

Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.

Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.

Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....

Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..

Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Ilinishinda kwenye Michele miaka kadhaa nyuma..game tight sana kwenye biashara ya nafaka...gunia la kilo 100 linakupa faida ya 10,000 TU...ukinywa bia 5 tayari unakuwa umetafuna mtaji.....ni biashara nzuri ukiwa na diapline ..binafsi ilinishinda.
 
Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.

Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.

Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....

Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..

Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Circulation ndo itakupa pesa, uzoefu kazin na ukubwa wa biashara utaonekana kwa kuzingatia uzoefu wako kazini

Jamaa yangu alianza na mtaji usiofika hata 1M, sas anatengeneza profit ya 5M per single month
 
Sijui wenzangu mnafanyaje biashara lakini biashara ya nafaka ina faida tena kubwa sana kwa upande mm natoa mchele Tabora napeleka dar na zenj sikosi faida ya kuanzia 300 per kilo tena mm nanunua mchele wala sio mpunga, nanunua sembe 850 per kilo na nauza 1200 per kilo na biashara inakwenda sasa sijui wenzangu mnakwama wapi.
Wengi kwenye Biashara wanahisi kuwa na mtaji mkubwa ndio kutoboa but uzoefu+ujanja+ubunifu lazima utoboe.
Mchele mzuri bei ni
1100 -1200 per KG
Usafiri Taboara to Dar ni Tsh 100 per KG
Mabega Tsh 7 per KG
Mambo mengine cost Tsh 100
 
Mkuu biashara ndivyo ilivyo, usitegemee faida kubwa sana kwenye mzigo mmoja. Biashara inahitaji turnover ya wateja. Pia biashara ya nafaka unatakiwa kucheza na demand and supply. Wakati supply iliwa kubwa huko unakonunulia ndio muda wa kununua then demand ikiwa kubwa ndio wakati wa kuuza.
 
Circulation ndo itakupa pesa, uzoefu kazin na ukubwa wa biashara utaonekana kwa kuzingatia uzoefu wako kazini

Jamaa yangu alianza na mtaji usiofika hata 1M, sas anatengeneza profit ya 5M per single month
Ni kweli nakuelewa kwa upande wa circulation, ila kwa sisi ambao ni waajiriwa, kupotezwa dimbani ni rahisi
 
Sijui wenzangu mnafanyaje biashara lakini biashara ya nafaka ina faida tena kubwa sana kwa upande mm natoa mchele Tabora napeleka dar na zenj sikosi faida ya kuanzia 300 per kilo tena mm nanunua mchele wala sio mpunga, nanunua sembe 850 per kilo na nauza 1200 per kilo na biashara inakwenda sasa sijui wenzangu mnakwama wapi.
Wengi kwenye Biashara wanahisi kuwa na mtaji mkubwa ndio kutoboa but uzoefu+ujanja+ubunifu lazima utoboe.
Mchele mzuri bei ni
1100 -1200 per KG
Usafiri Taboara to Dar ni Tsh 100 per KG
Mabega Tsh 7 per KG
Mambo mengine cost Tsh 100
Unapozungumzia ujanja ndio unamaanisha kuchanganya mali nzuri na mbaya? Ndio uhuni unaofanyika, unanunua mchele super, wanachanganya na bei rahisi, au maharage mazuri wanachanganya na maharage mabovu.
 
Ni kweli faida n ndogo sana kwa kwel.. nshawah fanya business ya mchele hii nilikuwa nasafirisha tani 30 .. mtaji zaid ya million 30 afu faida 2.5 million.. ni upuuzi kbsaa... hapo ume hustle kupata hizo tani 30 si mchezo afu faida 2.5 million kwa mwezi.. nimechana nayo saiv nataka niamie kwenye kuuza madini.. broker..
Mtaji wa M30 kwa faida ya M2.5 nisingeacha.Labda kama siyo faida.
 
Unapozungumzia ujanja ndio unamaanisha kuchanganya mali nzuri na mbaya? Ndio uhuni unaofanyika, unanunua mchele super, wanachanganya na bei rahisi, au maharage mazuri wanachanganya na maharage

Unapozungumzia ujanja ndio unamaanisha kuchanganya mali nzuri na mbaya? Ndio uhuni unaofanyika, unanunua mchele super, wanachanganya na bei rahisi, au maharage mazuri wanachanganya na maharage mabovu.
Hapana sina maana hiyo maana ya ujanja hapa imebase katika timing and calculation lazima ujue muda mzuri wa kununua mchele na lazima uwe na hesabu kali katika kuwa approach wateja mfano mchele super nauweka viroba viwili mteja namwambia super hii 2500 na super hii nyengine ni 2800 kwa akili za mteja atanunua wa 2800 maana ataona bora zaid lkn ni aina moja akili ya binadamu lazima uipe option katika best product
 
Hujajua hesabu ya biashara ww vizuri hiyo 100 inalipa sana tafuta soko uwe unakimbiza kila week hiyo 300000 ukikimbiza kwa mwezi mara 3 yaani kila baada yasiku 10 utakuwa na 900000 kwa mtaji 6000000 ni sawa jali soko zaidi na mashamba zaidi
Biashara ya mitandaoni hiyo,kumbuka unaweza kununua mzigo Kwa 2500,kufika sokoni ukakuta bei imeshuka Kwa 2300! Biashara ya mazao ww isikie mkuu.
 
Back
Top Bottom