Hodi humu
Natafuta patner wa kufanya nae biashra ya nafaka mwenye uzoefu na biashara hio.
Mtaji upo wa 100M.
Yeyote mwenye proposal nzur ya biashara ya nafaka aje dm au ashare apa.
Proposal ambayo itadadavua biashra yote kiundani. ( anzia upatikaaji wa nafaka na bei zake , gharama za usafirishaji, vibal vinavyotakiwa, masoko na bei zake, misimu ya upatikanaji n.k) . Atakeyukaj na mchanganuo mzur zaid ndo atawin deal.
Karibun
Natafuta patner wa kufanya nae biashra ya nafaka mwenye uzoefu na biashara hio.
Mtaji upo wa 100M.
Yeyote mwenye proposal nzur ya biashara ya nafaka aje dm au ashare apa.
Proposal ambayo itadadavua biashra yote kiundani. ( anzia upatikaaji wa nafaka na bei zake , gharama za usafirishaji, vibal vinavyotakiwa, masoko na bei zake, misimu ya upatikanaji n.k) . Atakeyukaj na mchanganuo mzur zaid ndo atawin deal.
Karibun