KUULIZA SI UJINGA WASWAHILI TUNASEMA
natamani kufanya biashara , na fedha nilizonazo jumla kwa ajili ya kufanyia biashara hiyo ni tshs 2,000,000/= tu.
katika biashara hii, natamani kupata faida ya tshs 200,000/= baada ya kuondoa gharama zote za biashara usika kwa mwezi.
kama ipo, msaada tafadhali
naomba kuwasilisha, nategemea mengi toka kwenu GREAT THINKERS
natamani kufanya biashara , na fedha nilizonazo jumla kwa ajili ya kufanyia biashara hiyo ni tshs 2,000,000/= tu.
katika biashara hii, natamani kupata faida ya tshs 200,000/= baada ya kuondoa gharama zote za biashara usika kwa mwezi.
kama ipo, msaada tafadhali
naomba kuwasilisha, nategemea mengi toka kwenu GREAT THINKERS