Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi sio kosa lako pia ukikua utaachaWe ufungwe umeua ngiwi ukiwa hujui soko
Kuna rafiki yangu mzenji angekusaidia hii chap. Bahati mbaya nacheki sioni namba yake. Anaishi Tunguu kule ana nyumba za kukodisha watasha anajuana sana na watu wa mahoteli na wanamuamini. Mungu akusaidie hitaji lako mpambanaji.Kwa wale wenyeji wa Zanzibar ambao wanamiliki mahoteli nilikua natafuta soko la ngisi
Kwa sasa wapo ngisi kama kilo elfu nane
Ngisi wanapatikana UNGUJA UKUU
Kwa alie tayari naomba tuwasiliane PM
Tani nane? Walete bara huku tuwazungishe kwa wauza michuzi usiku chapchapKwa wale wenyeji wa Zanzibar ambao wanamiliki mahoteli nilikua natafuta soko la ngisi
Kwa sasa wapo ngisi kama kilo elfu nane
Ngisi wanapatikana UNGUJA UKUU
Kwa alie tayari naomba tuwasiliane PM
Asante ila kama utapata namba yake usisite kunipaKuna rafiki yangu mzenji angekusaidia hii chap. Bahati mbaya nacheki sioni namba yake. Anaishi Tunguu kule ana nyumba za kukodisha watasha anajuana sana na watu wa mahoteli na wanamuamini. Mungu akusaidie hitaji lako mpambanaji.
Chakula kipate mpishi ndo utafurahiView attachment 2819792Calamari,ebwana watamu hao samaki.
Jamaa yuko vizuri sana, ni kiasi kikubwa sana.Tani nane? Walete bara huku tuwazungishe kwa wauza michuzi usiku chapchap