Serendipity
JF-Expert Member
- Jan 24, 2009
- 486
- 43
Naomba kujua ni mkoa gani naweza kununua ng'ombe wenye uzito kuanzia 100kg na kuendelea kwa bei nafuu.
Thanks
Thanks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... hujaeleweka chief.Naomba kujuwa ni moja gani naweza kununua ng'ombe wenye uzito kuanzia 100kg na kuendelea kwa bei nafuu. Thanks
Nipo Dar es laam mkuuUpo Wapi .....! Huku Morogoro Wapo Wengi Tuuu
Unawaweka wapi boss ukishawanunuaBiashara nzuri sana kama hela yako haina haraka.msimu wa kiangazi unanunua ng'ombe zako kazaa unawanenepesha kisha unawauza.mdogomdogo haina papara.
Wanaanzia bei sh ngapi?Upo Wapi .....! Huku Morogoro Wapo Wengi Tuuu
Pochi yako ndo Itaamua ununue ngombe gani.Wanaanzia bei sh ngapi?
Unataka ng'ombe wa biashara au ya maziwa.Wanaanzia bei sh ngapi?
Nataka kuanza biashara ya kununua ng'ombe toka mikoani kuja DSM.... hujaeleweka chief.
Wa biashara mkuuUnataka Ngombe Ya Biashara Au Ya Maziwa
Swali zuri sana.ukiwa mtu wa Dar sana huwezi jua utawaweka wapi kwakuwa dar utakutana na changamoto ya lishe na eneo lakufugia.unawaweka wapi boss ukishawanunua
Kama Wa Biashara Wapo Huku Moro Wilaya Ya Mvomero Kibao TuuWa biashara mkuu
Mkuu naomba namba yako tubadilishane mawazoKama Wa Biashara Wapo Huku Moro Wilaya Ya Mvomero Kibao Tuu
Hapo umenunua na kupakia kwenda kuuza,maana nauli tu ya kumsafirisha ng'ombe ni 40,000.Hebu nitafute kijana unataka kununua mkoani uje uuze Dar unamaanisha Pugu Mnadani Ng'ombe ya kg 100 mkoani inauzwa 500,000 Pugu mnadani unauza 580,000 ukikata gharama zote faida 40,000 ama 30,000 kwa ng'ombe inahitaji msingi mzuri ili upate faida nzuri.
Bado gharama za pugu kulaza charge, malisho charge per dayHapo umenunua na kupakia kwenda kuuza,maana nauli tu ya kumsafirisha ng'ombe ni 40,000.