Biashara ya ng'ombe: Mkoa gani naweza kununua ng'ombe kwa bei nafuu

Biashara ya ng'ombe: Mkoa gani naweza kununua ng'ombe kwa bei nafuu

Pwani kubwa boss pwani ipi hiyo kama huta jari utusaidie hapa ili tuzidi pata mwanga
Wilaya ya Kisarawe vijiji gani naweza kununua ng'ombe kwa urahisi,namanisha vijiji gani kuna minada ya ng'ombe?
Wilaya ya karibia zote kuna minada. Ila hasa ninayoifahamu mm ambapo ng'ombe wanapatikana ni mnada wa Kitonga (unapita Chole, kuna kijiji kinaitwa vikumburu then kwa mbele. Pia kuna kijiji kinaitwa Gwata pia kuna mnada, (unashuka Mlandizi, unakuja Mzenga then kwa mbele.. Kuna mnada wa Ruvu pia (unapita Mlandizi ukivuka daraja ndo kuna mnada).

Wafanyabiashara wa hv vijiji hununua ng'ombe Kitonga na Gwata then hupeleka Ruvu.. huo mnada wa Ruvu hupigwa kila siku.
 
Kwa maana hyo Kitonga na Gwata ng'ombe hupatikana kwa bei rahisi.. hawa wafanya biashara wa hivi vijiji hupeleka Ruvu ambapo Ruvu napo ndo kuna wafanyabiashara pia wanaonunua na kupakia ng'ombe hapo na kuwasafirisha (kama alivyosema mdau mmoja hapo juu kuwa huwa wanapeleka Visiwa vya Comoro).

Kwa mfano, ng'ombe wa laki 4 Kitonga au Gwata ukimpeleka Ruvu unauza laki 5 na nusu hadi 6
Duu kweli hayo?

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Kwa maana hyo Kitonga na Gwata ng'ombe hupatikana kwa bei rahisi.. hawa wafanya biashara wa hivi vijiji hupeleka Ruvu ambapo Ruvu napo ndo kuna wafanyabiashara pia wanaonunua na kupakia ng'ombe hapo na kuwasafirisha (kama alivyosema mdau mmoja hapo juu kuwa huwa wanapeleka Visiwa vya Comoro).

Kwa mfano, ng'ombe wa laki 4 Kitonga au Gwata ukimpeleka Ruvu unauza laki 5 na nusu hadi 6
 
Kwa maana hyo Kitonga na Gwata ng'ombe hupatikana kwa bei rahisi.. hawa wafanya biashara wa hivi vijiji hupeleka Ruvu ambapo Ruvu napo ndo kuna wafanyabiashara pia wanaonunua na kupakia ng'ombe hapo na kuwasafirisha (kama alivyosema mdau mmoja hapo juu kuwa huwa wanapeleka Visiwa vya Comoro).

Kwa mfano, ng'ombe wa laki 4 Kitonga au Gwata ukimpeleka Ruvu unauza laki 5 na nusu hadi 6
Kwa maana hyo Kitonga na Gwata ng'ombe hupatikana kwa bei rahisi.. hawa wafanya biashara wa hivi vijiji hupeleka Ruvu ambapo Ruvu napo ndo kuna wafanyabiashara pia wanaonunua na kupakia ng'ombe hapo na kuwasafirisha (kama alivyosema mdau mmoja hapo juu kuwa huwa wanapeleka Visiwa vya Comoro).

Kwa mfano, ng'ombe wa laki 4 Kitonga au Gwata ukimpeleka Ruvu unauza laki 5 na nusu hadi 6
Duh, basi inalipa sana
 
Back
Top Bottom