Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

Kwa kweli kabla ya kufika "tabati" inishushe njia panda.

sent from Samsung Galaxy A30
 
Mbona mna mafumbo?? Ati telegram na badoo ndo nini?? Telegramu mane oda au nini sasa??
 
Hali siyo nzuri kwa kweli. Kila mtu afanye maamuzi sahihi kulingana na imani na utashi wake kwa sababu hakuna anayelazimishwa ila mambo yameharibika sana. Ambao bado mnatafuta wake mna kazi ngumu sana katika kizazi hiki cha Whatsapp, FB, Telegram, Insta, Tik Tok, Snapchat, Badoo.

 
Ulijua mleta mada ndo muuzaj?

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020

Ndio, sio kwa lengo la kununua ila kuona ni nan na kwanini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu, nisababishie namba ya huyo mtoto kwa picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…