Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

Biashara ya ngono inayofanywa mitandaoni

Nawakumbusha tu wakuu unapata gharama na kuna maradhi huko [emoji1787]kazi kwenu
mimi sema ukweli sina nilifutaga apps zote kasoro tellegram ambayo naitumia kwa ajili ya magrup ya betting!! Maana nilikaa nikajiuliza mimi huwa sinunuagi malaya..hawa hawa malaya ndo wapo huko badoo,hitwe, hi5, tagged e.t.c alafu nikafikiria ishu ya maradhi na upotevu wa pesa tu ujana tunaitaji kuutumia vizur.Mwenyezi Mungu anisaidie!!nikafutaga zote nina kama mwaka sasahivi sitaki kuzisikia
 
Kuna mitandio mingi saivi ukikosa mbunye ww tu

kuna

Badoo
Tagged
Telegram
WhatsApp
nk nk yani ww tuuuu

Sent from my iPhone 11Pro Max using JamiiForums
 
Sasa hii biashara imehamia mitandaoni ukiingia Telegram kuna mpka madalali wa wa kuunganisha madem kama unahitaji mkoa wowote ule unaunganishwa mabint wadogo kabisa wanajihusisha na hii biashara tena ule mtandao pendwa unatolewa nje nje hii ni hatari dunia inaelekea tabati.

Nawasilisha
Hii ndio biashara kongwe zaidi duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo telegram huku maisha kitonga tu kuna warembo wana makalio utafikiri wanachambia hamira tunajilia kiulaini tu wengine kutongoza tumesahau kabisa ni kuita mtu unajilia no stress.
Bro niko telegram tatizo connection ila nina app ya telegram
 
Sasa hii biashara imehamia mitandaoni ukiingia Telegram kuna mpka madalali wa wa kuunganisha madem kama unahitaji mkoa wowote ule unaunganishwa mabint wadogo kabisa wanajihusisha na hii biashara tena ule mtandao pendwa unatolewa nje nje hii ni hatari dunia inaelekea tabati.

Nawasilisha
telegram
 
Ukiona biashara haikuhusu achana nayo wapo walengwa ambao inawasaidia.
Hiyo biashara ipo karne kwa karne labda kilichokutoa mapovu ni kuboreshwa upatikanaji wake ila hata bidhaa nyingine siku hizi wanafanya delivery.usipende kusema watoto wa wengine malaya utadhania wa kwako au ndugu zako wote bikira,labda ni jora moja kasoro mashono yaani huyu mikono mirefu huyu mifupi tofauti ni kuwa hao wengine wanaomba hela kabla na kutamka bei na wanaokuzunguka wewe wanaishia kutumiwa tu nauli wakihitajika ila kunjunjuliwa ni kulekule.
 
Back
Top Bottom