Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Hii biashara ipo sana especially kwenye majiji na miji mikubwa... Kuna channels huko telegram mwanamke anaweka picha au short video and caption anaandika namba, huduma anazo toa na sehemu aliyopo so kama uko kwenye huo mji ni wewe tu kuchukua namba na kuwasiliana na muhusika mambo ya bei na alipo. Very very private.
 
Back
Top Bottom