masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
-
- #241
wameniambia wakati naenda inabidi niwataarifu kabla sijaenda so nikifika kule natoa tu vyemaMasai dada kutoa hela yako baclays ukiwa uganda wakati mwingine inazingua, jamaa yangu alichemka kutoa ikabidi ashindwe kufanya mitihani kwa kutegemea hela zake barclays, so chukua tahadhali
embu niambie una suggest bank ipi pleaseMasai dada kutoa hela yako baclays ukiwa uganda wakati mwingine inazingua, jamaa yangu alichemka kutoa ikabidi ashindwe kufanya mitihani kwa kutegemea hela zake barclays, so chukua tahadhali
mkuu h njia duhWe kama hazivuki mil 6 weka mfukoni chapa mwendo, mie nilibeba mil 4. Nilipofika kahama nikanunua soks ndefu kweli kama za wacheza mpira nikajaza huko, yan mpk naingia kampala iyo ndio ilikuwa bank
mkuu h njia duh
hapana sirisk life ela yenyewe nimeitafuta muda sasaHa ha ha iyo inaitwa taking risk, ni kama unazamia bondeni kwa madiba kusaka life. So ready to face anything almradi ufike kwa mseveni
Shukrani za pekee zimwendee Money Stunna
nilikua na duka la nguo sasa nimelifunga njoo nikupe nguo ambazo zimebaki
Njoo dukani kwetu chague nguo za mtumba kwa bei poa kbsa.tunauza kwa bei ya jumla na rejareja