Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Mkuu umesaidia sana,binafsi umenifungua macho....ubarikiwe na nitakutafuta nijifunze mengi toka kwako
 
Safi sana ulichokiandika kimeeleweka kimenifanya nami nijiune kuwa naweza kufanya biashara vipi lakini upande wa ushuhuru ukitoa mzigo uganda na ukaleta Tanzania ,mfano mzigo ni wa thamani ya TSH LAKI TANO naomba kufahamishwa🙂🙂🙂
 
Safi sana mkuu naweza kwenda kwa ndege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni poa sana ila ogopa kukopesha,hautalipwa chalii angu,nshauza sana viatu na nguo za kike za dukani,now nimehamia mitumba,ni nzuri ila changamoto ni haoo wateja wa kike!

sent from my land lover 109 using Jamii forums app
 
Habari zenu wandugu

Nina shilingi 200,000 nahitaji kufanya biashara ya nguo za mitumba na viatu

KWANINI NIMEAMUA KUFANYA BIASHARA HII?

Kwasababu eneo naloishi kuna chuo ambacho kina wanafunzi 2000+,na chuo kinafunguliwa wiki lijalo

SWALI LANGU
-Ni wapi naweza kupata maroba ya nguo na viatu? (Bello) sina hakika kama ndo yanaitwa hvyo kwa bei ambayo inaendana na mtaji wangu?


NAPATIKANA DODOMA
 
Mkuu ww ni mwanachuo pia???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,Kama unataka kufanya biashara karibu na hicho chuo na umelenga zaidi wanafunzi biashara italipa Lakini kwa nguo za wanachuo nadhani unajua wengi wanavaa nguo zenye grade ya juu kiasi(bei za juu kidogo) haswa kwa wanawake.
Kwa dodoma sijui ni wapi utapata nguo za jumla kwa bei rahisi,Kama utataka kuchukua mkoa wa dar basi ukifika kariakoo hata kwa kuuliza watakuelekeza Au unaweza ukauliza kwa wafanyabiashara wadogo mahali wanapochukulia nguo kwa jumla na bei zake.
Sifahamu sana ila kwa nguo za mtumba kunakuwa na grade inaweza ikawa grade1,2au3 Jitahidi uchukue grade ya kati/juu kutokana na aina ya wateja wako kisha pakia either kwenye basi la kuja dodoma au lori.
Kuhusu mtaji sidhani,ila ungekuwa na angalau laki3 ingekuwa vizur yaani laki2 ununulie mzigo na nyingine laki1 ya matumizi ya hapa na pale.
 

Nashukuru mkuu kwa ushauri wako,ngoja niufanyie kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…