SahihiUholela wa biashara bila vibali. Bar na pubs zinatakiwa kufungwa saa sita usiku. Then club zinakesha. Watu wakitoka bar wanaingia club mpaka asubuhi.
Sasa bar,pub,liquor stores zote zinakesha nani ataenda club?
Hata ndio matokeo ya kutosimamia sheria ndio maana hata mitaani watu hawalali kisa bar inapiga muziki hadi asubuhi.
Usiku kucha mnachezesha vichwa kama mijusi ya singida 😂😂🚮Kila sehemu kwenye night club wanapiga Amapiano
Nonsense
Ni ufala sana...watu wako kama kuku anakata roho ndo styles za kucheza eti.
Mkuu mambo ya kubambia tumewaachia Dungadunga wazee wa chargeHabari wakuu,
Naona siku hizi zile Night Clubs ndani ya jiji la Dar es salaam hazipo tena zimefunikwa/replaced na Bar kubwa kubwa.
Mfano hapo nyuma palikuwa na club za mziki mbalimbali mfano Billcanas, Maisha basement, Ambiance n.k Lakini siku hizi zile Nights club zimevunjwa na kugeuzwa Lounge,Casinos au bar.
Siku hizi hata ukitaka kuingia club kwa ajili ya kucheza mziki, utahangaika sana tofauti za hapo nyuma kidogo badala yake utaishia kukaa kwenye bar, lounge kubwa kubwa kama vibez lounge, BM Lounge n.k ambazo si club bali ni bar zenye open space kwa ajili ya kukaa na kunywa pekee mziki upo lakini hauna privacy kama club.
Iko wapi hii1245 panakuhusu ww, ingia na hela tu. Hmna amapiano lbda aje msanii, hyping pale balaa. Yaani dj humuoni ila huyo hyper
Hakuna kitu sipendi kama Kila sehemu ni Amapiano utadhani hakuna music genre zingineTime really flies aisee. Miaka Ile Bills, Mambo Club hatari na nusu. Sio kwamba hizi open bar hazikuwepo. Weekend imefika jioni unajongea Jolly pale au Qbar unaanza mdogo mdogo moja moja hadi saa 6 unazama bills hadi alfajiri. Dah maisha yake hawawezi kujirudia. Watu wastaarabu wanajua muziki mzuri. Enzi hizo ukitaka oldies unazama Blue Palms unakula oldies balaa hadi kiu inakata unasuuzika moyo kabisa.
Sio sasa hivi ujinga mtupu, open bar lounge ni amapiano tu. Yan unaweza kukaa masaa 5 hujasikia oldies hata moja ni maujinga ya amapiano tu watu wako kama kuku anakata roho ndo styles za kucheza eti.
Kumbe muuza yule!Kwa Mchina penyewe tatizo mashoga na yule manzi muuza nyama kitambo, wauza nyama na mashoga ni hivi Pete na kidole.
Inaitwaje tukaoshe macho wikendi?Kuna night Club ipo pale Tip Top pale ni Massa 24 hata asubuhi Iko inafanya kazi na michezo yote mpaka makampuni ya kubet yapo
Binafsi kizazi cha sasa naona kama haki-enjoy kabisa. Watu wanakaa tu pub wanatandaza beers na pombe kali nyiiiingi, no dancing ni kutikisa vichwa tu na kushikashika warembo.
What a lazy life!?
Kipindi hicho unakula bia mtaani ikifika saa sita mnahamia club huko hata ukitaka kuongea labda upaza sauti maana ni sound la kufa mtu, mwendo wa ku-dance.
The only time muziki unasimama labda kuwe na show baaas. Zaidi ya hapo ni kucheza.
Sifa kuu za night club
1. Ni indoor
2. Privacy ya kutosha, kulikuwa hadi na VIP rooms
3. Well sound proofed
4. Dance floor ya maana
5. Nyimbo mchanganyiko....inafikia mahali mnajua kabisa kuwa muda flani ni muda wa bongo fleva na dj fulani ndio anapiga, muda fulani ni oldies na mnajua mkali wa oldies ni nani ukicheck kwa dj chamber unakuta kweli ni yeye.
No talks ni muziki kwa kwenda mbele.
Siku hizi sioni kama kuna starehe. Watu wamejikita kwenye mashindano ya kunywa na kupost kwenye oage zao.
Kumbe muuza yule!
Huko usijaribu mkuu.Inaitwaje tukaoshe macho wikendi?
Mtukufu ni Mungu pekee mwezi unakujae mtukufu??Hazijafungwa. Subiri mwezi mtukufu uishe ndo utajua bado zipo au hazipo.
This... Aisee.. Wabongo hatujui kula raha.. Ila tunajua kuwaumiza watu roho kwamba tunakula raha..Kila kitu kimekua biashara,watu hawachezi na wako radhi kulipa overpriced drinks kwenye meza coz furaha yao wanaipata kwenye kupost na kuonesha watu wengine(mostly strangers kua wanakula bata).
Hii ndio Vibe Lounge?Kuna 999 vibes, ipo sinza.
Achana napo ni uswahilini kinoma. Yaani ipo barabarani kabisa.Inaitwaje tukaoshe macho wikendi?
Masaki iyo mzee, Chole Road, oya ushuani hatari. Huko nilishasema sikai nikaenda tena.Iko wapi hii
Ukienda uko Masaki jaribu na Element.Hapa 1245 nitapita siku moja. Nightlife imenipita for a while