Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Siku hizi warembo ndio wanakuchombeza ww...muhimu ukifika uwe na kibunda tuHazina privacy! Unashindwa hata kuchombeza warembo 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi warembo ndio wanakuchombeza ww...muhimu ukifika uwe na kibunda tuHazina privacy! Unashindwa hata kuchombeza warembo 😀
Hapa unalipia majengo na mishahara ya wahudumu...dadeki!!! Soda ya 600-1000 unauziwa 5000....that means 5 times its original price.Summary ya Menu ya vinywaji hii hapa: Aione na RRONDO View attachment 2934372
Kama kule Moshono Arusha yaani The Place anapiga muziki kama ugomvi, hakuna kulala.Uholela wa biashara bila vibali. Bar na pubs zinatakiwa kufungwa saa sita usiku. Then club zinakesha. Watu wakitoka bar wanaingia club mpaka asubuhi.
Sasa bar,pub,liquor stores zote zinakesha nani ataenda club?
Hata ndio matokeo ya kutosimamia sheria ndio maana hata mitaani watu hawalali kisa bar inapiga muziki hadi asubuhi.
Yeah hii ya kupiga mziki kwa bluetooth inapendwa sanaWanapokezana kupiga nyimbo kwenye Bluetooth
Inakufanya uenjoy zaidi maana kila mtu anapiga flavour zakeYeah hii ya kupiga mziki kwa bluetooth inapendwa sana
HahahahahahahaKitambaa naisikia tu. Vijana starehe zenu mnaweza wenyewe. Yaani watu wamejaa kama sisimizi wanakunywa bia tu.