Biashara ya Night Club Dar imekufa?

Biashara ya Night Club Dar imekufa?

Band zimepauka mbaya. Yaan huruma. Na mchezo wa Karaoke nao umefika tamati.
Ama kweli kila zama na kitabu chake...naona sahivi Twanga pepeta inajikakamua kwenye kupiga bend ila sio kama zamani zikipiga Mango garden

Karioke nayo naozo naona zimeanza kuchoka

Sijui wadau wa bar za usiku wanataka nini nowadays
 
Kusikilizishwa mavitu ambayo siyaelewi nimeamua kuchukua hatua
Screenshot_20240315-210925_Chrome.jpg
 
Habari wakuu,

Naona siku hizi zile Night Clubs ndani ya jiji la Dar es salaam hazipo tena zimefunikwa/replaced na Bar kubwa kubwa.

Mfano hapo nyuma palikuwa na club za mziki mbalimbali mfano Billcanas, Maisha basement, Ambiance n.k Lakini siku hizi zile Nights club zimevunjwa na kugeuzwa Lounge,Casinos au bar.

Siku hizi hata ukitaka kuingia club kwa ajili ya kucheza mziki, utahangaika sana tofauti za hapo nyuma kidogo badala yake utaishia kukaa kwenye bar, lounge kubwa kubwa kama vibez lounge, BM Lounge n.k ambazo si club bali ni bar zenye open space kwa ajili ya kukaa na kunywa pekee mziki upo lakini hauna privacy kama club.
Hii inaitwa transformation...to the level where you can drink and play in a open zone.Ila ile biashara ya kufungiana ndani hakuna
 
Un
Habari wakuu,

Naona siku hizi zile Night Clubs ndani ya jiji la Dar es salaam hazipo tena zimefunikwa/replaced na Bar kubwa kubwa.

Mfano hapo nyuma palikuwa na club za mziki mbalimbali mfano Billcanas, Maisha basement, Ambiance n.k Lakini siku hizi zile Nights club zimevunjwa na kugeuzwa Lounge,Casinos au bar.

Siku hizi hata ukitaka kuingia club kwa ajili ya kucheza mziki, utahangaika sana tofauti za hapo nyuma kidogo badala yake utaishia kukaa kwenye bar, lounge kubwa kubwa kama vibez lounge, BM Lounge n.k ambazo si club bali ni bar zenye open space kwa ajili ya kukaa na kunywa pekee mziki upo lakini hauna privacy kama club.
aonekana unapenda sana kubambia dadeki..siku hizi watu wanaangalia maokoto, bar zinawapa pesa nyingi..tofauti na zama zile ambazo vibaka walikuwa wakiingia night clubs kwa ajili ya kwenda kuwaibia watu.

Bar huwezi kukaa saa nzima hujaagiza hata kinywaji...lazima waje kukuuliza
 
Miaka ya 90' tunatoka home usiku tushapiga msosi wa maana , tunakwenda kudance bills mfukoni una pesa ya kiingilio na nauli ya kukurudisha home. Full kubambia milupo...watoto wa siku hizi hawezi kujua hizi mambo....nostalgia
 
Back
Top Bottom