Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
Ama kweli kila zama na kitabu chake...naona sahivi Twanga pepeta inajikakamua kwenye kupiga bend ila sio kama zamani zikipiga Mango gardenBand zimepauka mbaya. Yaan huruma. Na mchezo wa Karaoke nao umefika tamati.
Karioke nayo naozo naona zimeanza kuchoka
Sijui wadau wa bar za usiku wanataka nini nowadays