Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Tip Top night ClubInaitwaje tukaoshe macho wikendi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tip Top night ClubInaitwaje tukaoshe macho wikendi?
Night clubs zimebaki Nairobi tu...aloo huko ni sio poa. Hizi habari za pubs bongo ndo tumeendekeza na kupigizana makelele usiku kucha kila sehemu, ukigeuka huku kanisa la mabati na maspika yao,ukigeuka huku bar/pub..ndo maana vichaa wanakua wengi. Hata Zanzibar pia bado wanautaratibu mzuri wa night clubs. Kama mkuu wa mkoa mwenyewe anasema ambae hataki makelele ahame Dar unategemea kuna utaratibu kweli hapo?Uholela wa biashara bila vibali. Bar na pubs zinatakiwa kufungwa saa sita usiku. Then club zinakesha. Watu wakitoka bar wanaingia club mpaka asubuhi.
Sasa bar,pub,liquor stores zote zinakesha nani ataenda club?
Hata ndio matokeo ya kutosimamia sheria ndio maana hata mitaani watu hawalali kisa bar inapiga muziki hadi asubuhi.
Wabongo wanaziita Lounge. Yaani mtu kaweka maspika, viti mambao mbao, kaunta moja. Wahudumu wenye matako. Anasema JF Lounge.Night clubs zimebaki Nairobi tu...aloo huko ni sio poa. Hizi habari za pubs bongo ndo tumeendekeza na kupigizana makelele kila sehemu ndo maana vichaa wanakua wengi. Hata Zanzibar pia bado wanautaratibu mzuri wa night clubs. Kama mkuu wa mkoa mwenyewe anasema ambae hataki makelele ahame Dar unategemea kuna utaratibu kweli hapo?
Bora hata Lounge inakua indoors na makelele hayatoki nje. Pubs ndo balaa mtu anaweza panga viti na maspika hadi mlangoni kwakoWabongo wanaziita Lounge. Yaani mtu kaweka maspika, viti mambao mbao, kaunta moja. Wahudumu wenye matako. Anasema JF Lounge.
Nyomi iyoo
Yaani inakera saaanaKinachokera
Ni kukuta zinapigwa amapiano tu non stop
Halafu hizo ngoma hakuna ladha sana
Watu wanatikisa vichwa tu basi yaani starehe imekuwa fake ya kufosi
Nairobi wana mpaka strip clubs. Nilifika pale nikakuta wadada wanacheza uchi wa mnyamaNight clubs zimebaki Nairobi tu...aloo huko ni sio poa. Hizi habari za pubs bongo ndo tumeendekeza na kupigizana makelele usiku kucha kila sehemu, ukigeuka huku kanisa la mabati na maspika yao,ukigeuka huku bar/pub..ndo maana vichaa wanakua wengi. Hata Zanzibar pia bado wanautaratibu mzuri wa night clubs. Kama mkuu wa mkoa mwenyewe anasema ambae hataki makelele ahame Dar unategemea kuna utaratibu kweli hapo?
Anataka kuhamia hapo safari carnival zamani,escape one ndani mule....wako kwenye maZungumzoTriple 7 imeisha mkuu. Eneo lishauzwa Mlatie anatafuta kwingjne. Ile nayo ni bar kubwa tu
Kahaba kaua uchumi umasikini umeongezeka sana sasa hivi dar watu wanakula mara moja au mbili kwa siku ...ukipita mitaani uwezi kusikia harufu ya misosi ikikarangizwa .....kahaba hafai kahaba hafaiHata kabla ya Ramadhan hali ipo hivyo
Bar za mitaani haziwezi kukuza utalii....biashara ya nightclub imeuliwa na SAMIA NI NJAMA YA WAZANZIBAR KUUA UTALII TANGANYIKA ILI WATALII WAENDE ZENJI NINAO USHAHIDI 100% SIYO CLUB TU BALI HATA FUKWE ZINACHAFULIWA NA MCHANGA MWEUPE UNAPELEKWA ZANZIBARMkuu kila mtaa kuna mabaa makubwa tu, halafu unakuta labda kila jumatano au weekend kuna bendi,open space,mziki upo,na karibu na kwako au mtaani kwako.
Mtu unakaa karibu na maskani ,kufahamiana na usalama wa kutosha .
Mafaza wanavaaje mkuu? Nipe code nisije kuonekana mmasai nimeingia Disco 🤣🤣Kesho madogo wa chuo wameanza kurudi. Patajaa hatari. Ila usivae kifaza sana maana wanajaa vijana tu.
Unachomekea kadeti na shati la draft. Chini kiatu cha kiwi.Mafaza wanavaaje mkuu? Nipe code nisije kuonekana mmasai nimeingia Disco 🤣🤣
Wewe weekend yako inaanza Thursday?Kesho weekend anzeni kumwaga machaka mapya.
Draft,kadet na all star inafaa kuingia huko?Unachomekea kadeti na shati la draft. Chini kiatu cha kiwi.
😁😁😁
Kwenye kadet ungeweka jinsi, usichomekee . Ila ata ivo poa.. ila usichomekeeDraft,kadet na all star inafaa kuingia huko?
Una hakika lakini unataka kwenda Dance Club? Kuna vijana wa hivi..Draft,kadet na all star inafaa kuingia huko?
Huko sio kabisa. Hata 20yrs ago nisingepaweza.Una hakika lakini unataka kwenda Dance Club? Kuna vijana wa hivi..
View attachment 2935478
Mabishoo wengine ndio hawa:
View attachment 2935479
Kitambaa naisikia tu. Vijana starehe zenu mnaweza wenyewe. Yaani watu wamejaa kama sisimizi wanakunywa bia tu.