Biashara ya pharmacy kwa mtaji wa Tsh. 30m

Biashara ya pharmacy kwa mtaji wa Tsh. 30m

Na Walio hai, Either Ni machozi au Wanaishi Kwa remote control Kama mazombi. Vingivyo nawe mume uwe Ni mfamasia
Kwanini umesema hivi..natamani kujua zaidi..Kuna divine purpose ILITOKEA kwangu na mfamasia tuka achana bila nyoyo zetu kupenda..
 
Elimu ya pharmacy imewafanya wanawake kua makatili zaidi ya unavoweza kufikiria.

Mkuu,akishakaa dukani, uchumi akaushika, Na Kama alikua bright darasani, upendo kwako ukaisha, au anakupenda Sana (ana wivu sn) anataka kukucontrol atakavyo.

Aisee jiandae kugeuzwa msukule WA familia, na sio tena baba wa familia

Wafamasia wakiwa bright sn Ni zaidi ya waganga wa kienyeji.
Nimeelewaa shukrani.
 
Mimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
🤣 ila we jamaa msanii sn, ss unataka kwenda kuchukua diploma au kuoa mwanamke mwenye diploma ili aje kukaa dukani kwako?

So tukutafutie Mwanamke anaesoma diploma ili uje umuoe, tukueleze faida y duka na location…. Duuuh.

Ww n Mganga kweli ila n Mganga wa jadi.
 
Mimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
Umeanza vizuri sanaaa sanaa ila Kwenye wanamke futa kabisaaa then andika inawezekana kusimamia biashara zangu huku nasoma??? jibu ni ndio unaweza hivyo vikiri kusimamia sio kuoa mwanamke mwenye diploma muajiri tu wew usimamie.
 
Back
Top Bottom