B M F ICONIC
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 824
- 1,631
Kwanini usitafte cheti cha mfamasia alie na degree ufungulie hio pharmacy?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasahivi ishafika kwenye Mke na sio Mchumba tena?Rule no 1 .Mke hasomeshwi
Rule no 2. Remember rule no 1. Mke hasomeshwi.
Mbona kama unanishambulia 😹Rule no 1 .Mke hasomeshwi
Rule no 2. Remember rule no 1. Mke hasomeshwi.
Weee jamaa upo? Kitambo sana hatujapishana humuMi nkusaidie kutafta mke
Umeenda mbali kwa yule wa anajiita tibaijuka....unauhakika gan kuwa raisi samia hana mchango wa kifedha kwa mume wake??
Yaani mchumba/ hawara/ mke/demu hasomeshwiSasahivi ishafika kwenye Mke na sio Mchumba tena?
Thanks 🙏Brother nilikuwa na mawazo kama yako ya kumuweka mke wangu kwny biashara Ila acha nikutusi kwanza "tumbafu wewe" toa ilo pepo kichwani
2.asilimia 80 ya biashara zinahitaji uwepo wewe atleast Six month
3.hapo tafuta vijana wadogo wadogo wawili fresh from. Chuo na mzoefu mmoja uwaajiri nawewe uwepo pia sio lazima wewe uwe na hiyo taaluma kurun business "management na ethics za biashara ndo taaluma muhimu"
Kwahyo MO dewji naye akajifunze kuendesha meli, au kuchanganya chemicals ndo afanye biashara
Namaanisha wakukaa dukaniKwanini usitafte cheti cha mfamasia alie na degree ufungulie hio pharmacy?
Daktari una wazo zuri la kuanzisha biashara. Kiukweli nina mengi sana ya kukushauri lakini kwa sasa naomba nikushauri moja tuMimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
🙏Daktari una wazo zuri la kuanzisha biashara. Kiukweli nina mengi sana ya kukushauri lakini kwa sasa naomba nikushauri moja tu
(1). Kumuoa mwanamke ili aje asimamie biashara yako, sijaelewa. Angalia Tena, fikiria tena hilo daktari
Kila lakheri daktari.
🤣🤣🤣🤣Kuna mwanamke hapa kasomea pharmacy na atakufaa mimi nitapata kiasi gani kwenye hili dili la 30m ?
Watu mmeamua Kumpika Badala ya Kumsaidia Yaani ni COOK! COOK!Kwanini unajiita Daktari
Wamekarir maisha Hawa vijana wa bongo.Watu mmeamua Kumpika Badala ya Kumsaidia Yaani ni COOK! COOK!
Huyu ni mwanamke! Huu ushauri ubandike ukutani!Hifadhi kwanza pesa zako kabla haujazipukutisha, jipe muda mrefu wa kufanya research ya hiyo biashara....
Jipange sana kuhusu usimamizi, bro jipange sana kuhusu usimamizi, kama unajua hauna muda na hauwezi kusimamia biashara yako bora kuzikunywa tu hizo milions tofauti na hapo utawafungulia watu biashara.
Usijidanganye utafute mke kwa lengo la kukusimamia biashara, usijidanganye......
Nipo mkuu habari ya Naot hapoWeee jamaa upo? Kitambo sana hatujapishana humu
Nitaftie kibarua Kaka naosha Sana magari ya matajiriWeee jamaa upo? Kitambo sana hatujapishana humu
Acha hizo mtaalamu [emoji2][emoji2][emoji2]Nitaftie kibarua Kaka naosha Sana magari ya matajiri
Yani unaoa mke ili umuachie biashara...ndoa na biashara zitakufa mapema sana.Mimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
Maisha magumu shemeji kaninyima chai aiseeAcha hizo mtaalamu [emoji2][emoji2][emoji2]
Unanipiga changa la macho hapa