Biashara ya pharmacy kwa mtaji wa Tsh. 30m

Biashara ya pharmacy kwa mtaji wa Tsh. 30m

Brother nilikuwa na mawazo kama yako ya kumuweka mke wangu kwny biashara Ila acha nikutusi kwanza "tumbafu wewe" toa ilo pepo kichwani
2.asilimia 80 ya biashara zinahitaji uwepo wewe atleast Six month
3.hapo tafuta vijana wadogo wadogo wawili fresh from. Chuo na mzoefu mmoja uwaajiri nawewe uwepo pia sio lazima wewe uwe na hiyo taaluma kurun business "management na ethics za biashara ndo taaluma muhimu"

Kwahyo MO dewji naye akajifunze kuendesha meli, au kuchanganya chemicals ndo afanye biashara
Thanks 🙏
 
Mimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
Daktari una wazo zuri la kuanzisha biashara. Kiukweli nina mengi sana ya kukushauri lakini kwa sasa naomba nikushauri moja tu

(1). Kumuoa mwanamke ili aje asimamie biashara yako, sijaelewa. Angalia Tena, fikiria tena hilo daktari

Kila lakheri daktari.
 
Daktari una wazo zuri la kuanzisha biashara. Kiukweli nina mengi sana ya kukushauri lakini kwa sasa naomba nikushauri moja tu

(1). Kumuoa mwanamke ili aje asimamie biashara yako, sijaelewa. Angalia Tena, fikiria tena hilo daktari

Kila lakheri daktari.
🙏
 
Hifadhi kwanza pesa zako kabla haujazipukutisha, jipe muda mrefu wa kufanya research ya hiyo biashara....

Jipange sana kuhusu usimamizi, bro jipange sana kuhusu usimamizi, kama unajua hauna muda na hauwezi kusimamia biashara yako bora kuzikunywa tu hizo milions tofauti na hapo utawafungulia watu biashara.

Usijidanganye utafute mke kwa lengo la kukusimamia biashara, usijidanganye......
Huyu ni mwanamke! Huu ushauri ubandike ukutani!
 
Kuoa kwa ajili ya kunufaika kibiashara sio wazo zuri,
Biashara unaweza ukafanya na ukafanikiwa hakikisha tu upo eneo sahihi la kufanyia biashara yako,
Madawa yana faida nzuri sana naweza kusema hivyo ila running cost nazo ni kubwa
Kila la heri
 
Mimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
Yani unaoa mke ili umuachie biashara...ndoa na biashara zitakufa mapema sana.
KWa huo Mtaji Tafuta mtu muajiri na itakulipa tu.
 
Back
Top Bottom