Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana anatafuta 'compliance'; ili uuze duka la 'pharmacy' unatakiwa uwe na sifa zipi?Dr Tabibu unataka kusomea diploma ya nini? Kuna watu umewaacha njia panda.
Una sifa zote za kutengeneza bondHaya mimi nina hiyo Diploma, shida sio pesa yako, ila nikama huelewi unataka nini😏
Exactly wenge linamsumbuaHaya mimi nina hiyo Diploma, shida sio pesa yako, ila nikama huelewi unataka nini😏
Mimi ninaumwa Harmonize syndrome Dp yako inaonesha unayo dawa janelle kubali niwe SPIDERNYOKELLEHaya mimi nina hiyo Diploma, shida sio pesa yako, ila nikama huelewi unataka nini😏
unataka uoe mwanamke kwa sababu ya biashara au sijaelewa, wewe ni daktari na leseni si unayo unahitaji diploma ya nini tena.
Dhu, Dr tena huyo huyo Tabibu? Kuna kitu hakiko sawa hapo
Kwanini unajiita Dakt
Because"WHO" allowed me to clerk and prescribe to patients. Shida yenu vijana wa bongo mnamakasiriko mno haswa mnapoona mtu ambaye maybe manalingana umri then anaongelea mambo makubwa ambayo ww hujawai kuwaza kwa umri wako au ulishafeli nakujikatia tamaa kwasababu ya kujichanganya na kukimbilia majukumu mapema ukazan kila kijana anafanya huo upuuzi nakujiaminiasha kila kijana mwenyew umri kama wako anamaisha kama ya kwako . Ndugu yangu nikwambie tu kitu kuna vijana wako very serious na Wana focus kubwa sana kwenye haya maisha na kwenye hii dunia.Huo udaktar unao uona labda mm najipendekeza sana kwenye hiyo taaluma.ila kitu ambacho hujui kijana kama mm mwenye ndo kubwa.hata kama ningeajiriwa kama specialist akili yangu haipo upande huo wa kuajiriwa najua tu one day Nita retire before 60 nakufanya biashara coz .najua mipambano yangu.Kwanini unajiita Daktari
Kwann mkuu wangu.Mkuu mbona kama itakua hospital hio
Jichanganye kumpa mwanamke hiyo biashara kisa kasomea pharmacy na unataka kwenda shule, uje utupe uzi kwamba wanawake sio. JichanganyeMimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
Rule no 1 .Mke hasomeshwiushakuwa mshangazi masomo yatakupiga chenga tu
Rule no 2. Remember rule no 1. Mke hasomeshwi.Au anichukue mimi anisomeshe hiyo dip ya pharmacy kisha anioe tusimamie biashara yetu. 🤔
Shida yenu vijana mkisikia mtu ameweka mahali na swala la kuoa mnazani anaolea mihemko kama mihemko ambayo iliwafanya nyie mkimbilie kwenye ndoa ambazo sasaivi zinataka kuwatoa roho.sisi wengine swala la ndoa limeongelewa hapo ila nikitu ambacho ni swala extra sana katika maisha yetu kikubwa sisi tunaangalia ndoto zetu katika mafanikio kwanza hivyo vingine ndovinafuata.Exactly wenge linamsumbua
Itakuwa vyema mkuu🙏Nina mengi nayo yajua kwenye pharmaceutical industry yote nimesaidia wengi Sanaa...
Muda huu nipo kwenye usafir nimechoka kuandika.
Nikipata muda ntaandika kwa faida ya WENGI
Mbona unajitetea kubali kukosolewa Dokta ebu niambiye mwanamke anawezaje kukupa mafanikio?? (especially ya kifedha)Shida yenu vijana mkisikia mtu ameweka mahali na swala la kuoa mnazani anaolea mihemko kama mihemko ambayo iliwafanya nyie mkimbilie kwenye ndoa ambazo sasaivi zinataka kuwatoa roho.sisi wengine swala la ndoa limeongelewa hapo ila nikitu ambacho ni swala extra sana katika maisha yetu kikubwa sisi tunaangalia ndoto zetu katika mafanikio kwanza hivyo vingine ndovinafuata.
😄😄 Thanks dear.Hifadhi kwanza pesa zako kabla haujazipukutisha, jipe muda mrefu wa kufanya research ya hiyo biashara....
Jipange sana kuhusu usimamizi, bro jipange sana kuhusu usimamizi, kama unajua hauna muda na hauwezi kusimamia biashara yako bora kuzikunywa tu hizo milions tofauti na hapo utawafungulia watu biashara.
Usijidanganye utafute mke kwa lengo la kukusimamia biashara, usijidanganye......
unauhakika gan kuwa raisi samia hana mchango wa kifedha kwa mume wake??Mbona unajitetea kubali kukosolewa Dokta ebu niambiye mwanamke anawezaje kukupa mafanikio?? (especially ya kifedha)