Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Itakua daktari wa kienyeji.Dokta alafu unataka uende ukachukue diploma? wewe ni dokta wa nini sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua daktari wa kienyeji.Dokta alafu unataka uende ukachukue diploma? wewe ni dokta wa nini sasa?
Huyu atakuwa Dr SulleDokta alafu unataka uende ukachukue diploma? wewe ni dokta wa nini sasa?
Dr Tabibu unataka kusomea diploma ya nini? Kuna watu umewaacha njia panda.Mimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
unataka uoe mwanamke kwa sababu ya biashara au sijaelewa, wewe ni daktari na leseni si unayo unahitaji diploma ya nini tena?
eti anatafuta mke mwenye diploma asimamie biashara huyu anatafuta majanga, atakuja kuambiwa wewe sio wa taipu yangu, kwa sababu sikuwa na ajira tu, akaleta msi
Dr Tabibu unataka kusomea diploma ya nini? Kuna watu umewaacha njia panda.
Nina level ya clinical assistance sasaiv. kwa waliosoma medical wanaelewa.Dokta alafu unataka uende ukachukue diploma? wewe ni dokta wa nini sasa?
Nina clinical assistance mkuu.kwa waliosoma medica wananielewa.unataka uoe mwanamke kwa sababu ya biashara au sijaelewa, wewe ni daktari na leseni si unayo unahitaji diploma ya nini tena?
Basi unatakiwa kujitambulisha kama Tabibu, na siyo Daktari.Nina clinical assistance mkuu.kwa waliosoma medica wananielewa.
Kwanini unajiita DaktariNina clinical assistance mkuu.kwa waliosoma medica wananielewa.
Na anasema anataka mke mfamasia..... Yani anataka mke kijanja janja hivi kweliKwanini unajiita Daktari
Brother nilikuwa na mawazo kama yako ya kumuweka mke wangu kwny biashara Ila acha nikutusi kwanza "tumbafu wewe" toa ilo pepo kichwaniMimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.