Biashara ya pharmacy kwa mtaji wa Tsh. 30m

Na Walio hai, Either Ni machozi au Wanaishi Kwa remote control Kama mazombi. Vingivyo nawe mume uwe Ni mfamasia
Kwanini umesema hivi..natamani kujua zaidi..Kuna divine purpose ILITOKEA kwangu na mfamasia tuka achana bila nyoyo zetu kupenda..
 
Nimeelewaa shukrani.
 
🤣 ila we jamaa msanii sn, ss unataka kwenda kuchukua diploma au kuoa mwanamke mwenye diploma ili aje kukaa dukani kwako?

So tukutafutie Mwanamke anaesoma diploma ili uje umuoe, tukueleze faida y duka na location…. Duuuh.

Ww n Mganga kweli ila n Mganga wa jadi.
 
Umeanza vizuri sanaaa sanaa ila Kwenye wanamke futa kabisaaa then andika inawezekana kusimamia biashara zangu huku nasoma??? jibu ni ndio unaweza hivyo vikiri kusimamia sio kuoa mwanamke mwenye diploma muajiri tu wew usimamie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…