Bak byzo I.T
JF-Expert Member
- Jun 29, 2014
- 266
- 125
Nataka fungua biashara ya restaurant lakini nataka muweka mtu ndo awe manager wa pale wakati huohuo awe ni mfanyakazi.
Biashara itauza vyakula
1. Asubuhi vitafunwa aina zote na chai/maziwa
2. Mchana milo takriban 4 au 5
3. Usiku Milo mitatu pamoja na chips
4. Vinywaji vya aina zote
Naombeni ushari kulingana na maswali ninayo jiuliza.
1.5mil itatosha?
2. Business locatio (mimi mkazi wa dsm,mbagala)
3. Who is manager (specifications of manager)?
4. Number of workers?
5. Business monitoring method?
6. Daily collection amount
Nisaidieni mawazo yenu.
Biashara itauza vyakula
1. Asubuhi vitafunwa aina zote na chai/maziwa
2. Mchana milo takriban 4 au 5
3. Usiku Milo mitatu pamoja na chips
4. Vinywaji vya aina zote
Naombeni ushari kulingana na maswali ninayo jiuliza.
1.5mil itatosha?
2. Business locatio (mimi mkazi wa dsm,mbagala)
3. Who is manager (specifications of manager)?
4. Number of workers?
5. Business monitoring method?
6. Daily collection amount
Nisaidieni mawazo yenu.