Biashara ya salon za kiume na kike

Biashara ya salon za kiume na kike

Wadau naombeni wenye uzoefu na hii biashara je nikiwa na milioni 15 naweza fungua BERBAR SHOP ya maana na pesa zangu zikarudi haraka.Aksanteni
Zingatia watoto wazuri, sexy, mambo ya massage nk
 
Barber shop clasic bajet ni kama ifuatavyo
1.viti vya saloon clasic @1, 000, 000
2.kiti cha scrub @1, 500, 000
3.fetlizer @350, 000
4.machine za kunyolea @150, 000
5.tv and radio
6 .air port chair @500, 000
Hii ndio rougly bajet km frame ipo poa mean ac, vioo
Duh na wewe hesabu zako zimezidi,kiti cha scrub ni 500,000 tu na sio hiyo bei yako.hata viti vya kunyolea unaweza pata kwa laki 6 tu vikiwa 2 tena quality kabisa
 
Ha
[QUOTE="Zanzibar Spices, post: 9702319, member: 156820
 
Naamini miongoni mwa watu wanaotumia pesa saloon ni kina dada sasa naona nimuda wangu wakujua mtaji wa kuanzisha saloon na vitu vinavyoitajika katika kufungua saloon kubwa ya kinadada.NAOMBENI UJUZI TAFADHARI WANA JF
 
Makadirio kwa salon ya kawaida ya kike dryer 2pcs@ 150000, steamer dryer 1pc@ 250000, washing beseni 120000, viti vya plastic 6@ 12000, rollers za 100000 zinatosha kuanzia nunua size tofauti, mataulo 50000 nenda mitumbani utapata biashara ikikua utanunua special za salon, vitana/chanuo 20000, madawa ya nywele/mafuta/shampoo /steaming/wanja/powder etc 200000 jumla kama 1.3 lakini tembelea maduka mbalimbali bei inaweza pungua/ongezeka .Hiyo bei ni kwa madryer ya stand sio ukutani. Salon ya kiume sijui
Mchanganuo wa kijasiliamali
 
Mimi sifanyi biashara hii Japo ni mteja wa saloon nzuri na nazipenda kweli kweli. Kwa upande wangu yafuatayo ni muhimu
Saloon ya kiume:
1. Fanya survey na maongezi ya kutosha na vijana watakao kua vinyozi, wengi wao huwa hawajielewi na wanakua na pozi kwa Wateja(customer care ya mhudumu kwa mteja ni muhimu sana) wavalishe uniform

2. Upate nyumba yenye nafasi in which itakua na section kama tatu au nne hivi, iwe na shaving pool, customer waiting area,washing and scrabbing chamber na massage room.

3. Mkuu uwe na mabinti wazuri kama watatu hivi, kwa ajili ya scrabbling,pedicure na manicure plus body massage. Make sure wanakua na uniform kali, siku nyingine vitenge,vikaptula,skin jeans ,tyt n.k. Make sure wanavaa uniform na wafundishe kauli nzur kwa Wateja.

4. Uwe na kafriji kwa saloon yako, make sure ktk bei zako za kunyolea na Huduma nyingine una include na kaela ka soda kwa mteja ila mteja asijue kua ananunua soda. Mteja akiwa nasubiria zamu ya kunyolewa unampa kasoda au Maji na vikaranga fulani amazing,Basi atajiona mfalme na kamwe yaani.

5. Utakapofungua chukua week mbili au mwezi kusoma mazingira ya biashara,then cha kufanya kwa vijana vinyozi unawapa hesabu ya siku au week, kua ww kijana jilipe ila kwa week niletee elfu 70 mezani. Hao ni vinyozi haihusiani na Huduma nyingine.

6. Unapofungua jitahd ndani ya mwezi wa kwanza wa kuanza,Nenda kwenye hit radio station moja ya hapo dom Fanya tangazo ili wakazi wa wajue zawadi ulowaletea.

Kwa saloon ya kike.
Mkuu hii kwa upeo wangu kama mkeo siyo expert wa mambo haya utapata tabu kiasi, management ya wahudumu wa saloon za kike ni ngumu sana.

Tatizo wadada wanafanya ktk saloon hizi hawatulii,wanarukaruka kama nkiwa,Leo yupo hapa,kesho Singida,keshokutwa Utaikuta Mwanza.

Ila ukipata waliotulia utapiga hela. Labda uwachukue na uwafanyie treatment nzuri kuwajenga kisaikolojia watulie. Sasa hapo itabid upate wa sekta zote.
Kusuka, kushonea sijui ndiyo mawigi sijui mawiving, make up n.k. yaan kila sekta iwe na mtaalamu kias ya kwamba hakuna mteja wa kuchomoka.

Customer care ni muhimu pande zote ..
That's all in me sir
Nimependa maelezo yako, nimechanganya na ya kwangu nimepata jambo zuri zaidi linalo nifaa.
 
NIPE
Ukizungumzua barbershop iyo m2 ni ela ya viti viwili tu

Na kama ni spiriti pamba ela iyo inweza kuyeyuka kwenye kodi ya fremu

Hakuna mtu anaweza kuja kwenye saloon ya m2 kufanya scrub kwani itakuwa baada ya kumuosha unamchafua kwa ushauri ni pm

Saloon ni kazi yangu. Yeyote mwenye wazo kama ilo anicheck ntamsaidia

nipe contact zako basi, nipo njiani kufungua hii biashara ila sina details nimeanza kwa kupata pango, na nimeshanza kurikarabati
 
Habar wa wakuu,!!
Mimi ni mjasiriamali ilhali nafanya kazi, nimebuni mrad wa saloon na nipo katka hatua ya mwisho kukamilisha, so ningependa kujunzwa mwenye uelewa kwa upande wa hiyo biashara, ni changamoto zip zilizopo katika bisha hiyo? Na ni Jina ngan niandike ili liwe na mvuto kwa wateja? Pls maon yenu wakuu ntayafanyia kaz,
Natanguliza,
 
Asante mleta uzi nashukuru Kuna kitu nimejifunza kuhusu biashara hii
 
Habar wa wakuu,!!
Mimi ni mjasiriamali ilhali nafanya kazi, nimebuni mrad wa saloon na nipo katka hatua ya mwisho kukamilisha, so ningependa kujunzwa mwenye uelewa kwa upande wa hiyo biashara, ni changamoto zip zilizopo katika bisha hiyo? Na ni Jina ngan niandike ili liwe na mvuto kwa wateja? Pls maon yenu wakuu ntayafanyia kaz,
Natanguliza,
Simple :-
  • Bandika bei, na mteja always achajiwe na bei anayoiona, kusiwe na ubabaishaji kwenye hili
  • Mteja mfalme, akaribishwe vizuri na kwa heshima, na ahudumie vyema
  • Kusiwe kijiwe cha umbeya, zogo, makelele ya radio au TV
  • Vyombo vya kunyoa au kuhudumia kichwa cha mteja viwe visafi na kusafishwa barabara
  • Pawe pasafi na pa kuvutia
Hayo tu, mengine wataleta wengine
 
Back
Top Bottom