Abdallahkova
JF-Expert Member
- Apr 19, 2017
- 1,154
- 1,127
IPO inauzwa ml 5 ipo Tegeta .wadau naombeni wenye uzoefu na hii biashara je nikiwa na milioni 15 naweza fungua BERBAR SHOP ya maana na pesa zangu zikarudi haraka.Aksanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IPO inauzwa ml 5 ipo Tegeta .wadau naombeni wenye uzoefu na hii biashara je nikiwa na milioni 15 naweza fungua BERBAR SHOP ya maana na pesa zangu zikarudi haraka.Aksanteni
Milioni sita ndogo mkuu.nataka kitu kiwe classic ile hatari nataka nifungue mwanzaHio pesa nyingi Mzee.. Tumia 6M tuu, weka mademu wakaliiiiiii wa kufanya scrub na super black, kuosha nywele afu urudi hapa baada ya week tatu...
nikukopeshe kwa riba au bure?Mkuu nikopeshe laki 2
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Nisha subscribeNaweka kambi hapa nijifunze kitu
I think ikiwa classic sana kunawatu utawakosa. Ni bora iwe kawaida unapata wateja wa kila ainaMilioni sita ndogo mkuu.nataka kitu kiwe classic ile hatari nataka nifungue mwanza
Duuu kumbe mwanza?????Milioni sita ndogo mkuu.nataka kitu kiwe classic ile hatari nataka nifungue mwanza
Duuu kumbe mwanza?????Milioni sita ndogo mkuu.nataka kitu kiwe classic ile hatari nataka nifungue mwanza
[emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3]Duuu kumbe mwanza?????
Wasukuma wananyoana na nyembe. Nan ananyoa
Duuu kumbe mwanza?????
Wasukuma wananyoana na nyembe. Nan ananyoa salon.
Nakusahauri nunua mtumbwi tu
Kama unataka kufungua mwanza nitafute tuongee hakika hutojuta nipo mwanza piaMilioni sita ndogo mkuu.nataka kitu kiwe classic ile hatari nataka nifungue mwanza
Muongee nini? Unataka kumtapeli nini?Kama unataka kufungua mwanza nitafute tuongee hakika hutojuta nipo mwanza pia
Kaka mm napambana na hali yangu wala sijafunzwa tabia zako za hivo nakula jasho langu, nakushauri tafuta ridhiki bila kumkwaza mtuMuongee nini? Unataka kumtapeli nini?
I think ikiwa classic sana kunawatu utawakosa. Ni bora iwe kawaida unapata wateja wa kila aina
Kama unapambana kutafuta vya kwako basi vizuri! Sikuizi watu hamuaminiki, kila kona mpaka mitandaoni matapeli na majambazi yapo.Kaka mm napambana na hali yangu wala sijafunzwa tabia zako za hivo nakula jasho langu, nakushauri tafuta ridhiki bila kumkwaza mtu
sawa mkuu mi naishi mkolani.wee wapi? ili tutafutane tuongeeKama unataka kufungua mwanza nitafute tuongee hakika hutojuta nipo mwanza pia
Sasa mkuu kwani ni wapi nimetibua hari yako. Haya bwana!Kaka mm napambana na hali yangu wala sijafunzwa tabia zako za hivo nakula jasho langu, nakushauri tafuta ridhiki bila kumkwaza mtu
[emoji116] [emoji116] [emoji116] Hujashtuka tuu ukakimbia??sawa mkuu mi naishi mkolani.wee wapi? ili tutafutane tuongee
Nipo mkolani pia