Cleverman324
JF-Expert Member
- Nov 17, 2018
- 389
- 631
Habari wanajamvi nimerudi tena hustler mkomavu.
Mwanzoni mwa mwaka niliweka nadhiri ya kutembeza biashara kutokana na mtaji kuwa finyu nilianza na mtaji wa 42,000 kwa kuwa baadhi ya vifaa nilikuwa navyo, nilianza kuingia mitaani kuuza samaki kwa miezi miwili mfululizo nikaweza kuanzisha biashara ya maziwa ya mgando nikawa nabeba vyote mpaka leo.
Changamoto ni nyingi na faida pia inapatikana nimeweza kununua freezer na delli mbili chupa za chai nne kubwa meza za plastic mbili viti sita. Ninaomba msaada wa kimawazo juu ya hizi biashara maana naona umefika wakati wa kushikilia moja kwa sasa hasa kuweka kijiwe kabisa ili asubuhi natembeza namuacha binti kwenye kijiwe nikirudi tunaendeleza mpaka jioni.
Tuanzie kwenye samaki, hawa wanatembea mno ila wana gharama sana kwenye kuwaandaa na hata upatikanaji wake.na faida ni robo ya kile ulichowekeza, kwa upande wa maziwa pia pako vizuri na hamna changamoto sana na faida unapata nusu ya uulichowekeza.
Naombeni msaada wenu nikimbizane na ipi kati ya hivyo, na vipi kuhusu location nzuri. Mimi niliopt Kijichi au Tabata.
Naombeni mnipe mwangaza.
Mwanzoni mwa mwaka niliweka nadhiri ya kutembeza biashara kutokana na mtaji kuwa finyu nilianza na mtaji wa 42,000 kwa kuwa baadhi ya vifaa nilikuwa navyo, nilianza kuingia mitaani kuuza samaki kwa miezi miwili mfululizo nikaweza kuanzisha biashara ya maziwa ya mgando nikawa nabeba vyote mpaka leo.
Changamoto ni nyingi na faida pia inapatikana nimeweza kununua freezer na delli mbili chupa za chai nne kubwa meza za plastic mbili viti sita. Ninaomba msaada wa kimawazo juu ya hizi biashara maana naona umefika wakati wa kushikilia moja kwa sasa hasa kuweka kijiwe kabisa ili asubuhi natembeza namuacha binti kwenye kijiwe nikirudi tunaendeleza mpaka jioni.
Tuanzie kwenye samaki, hawa wanatembea mno ila wana gharama sana kwenye kuwaandaa na hata upatikanaji wake.na faida ni robo ya kile ulichowekeza, kwa upande wa maziwa pia pako vizuri na hamna changamoto sana na faida unapata nusu ya uulichowekeza.
Naombeni msaada wenu nikimbizane na ipi kati ya hivyo, na vipi kuhusu location nzuri. Mimi niliopt Kijichi au Tabata.
Naombeni mnipe mwangaza.