Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo maahabara natengeneza recipes. Ya hiyo kahawa..ni vyema tukiwa wabunifu kidogo natafta namna tofauti kidogo sitafanya kama wale wa birikaKahawa unauza hii ya kwenye kopo au ya vile vikombe vya udongo vidogo
Nipo maahabara natengeneza recipes. Ya hiyo kahawa..ni vyema tukiwa wabunifu kidogo natafta namna tofauti kidogo sitafanya kama wale wa birika
Mungu akusimamieNtawapa mrejesho soon
Umeona mbali sana mkuu. Kama umeshatengeneza empire yako na kuitelekeza kwenda kutafta nyingine uanze moja ni kupoteza resources...ninaanzia hapa hapa na wateja hawa hawa huku nikipanua mbawa taratibuLocation, muhimu ni wapi unauza kirahisi na haraka, kama hapo ulipo mzigo unatembea haraka komaa hapo hapo usifuate majina ya mtaa
Habari wanajamvi nimerudi tena hustler mkomavu.
Mwanzoni mwa mwaka niliweka nadhiri ya kutembeza biashara kutokana na mtaji kuwa finyu nilianza na mtaji wa 42,000 kwa kuwa baadhi ya vifaa nilikuwa navyo, nilianza kuingia mitaani kuuza samaki kwa miezi miwili mfululizo nikaweza kuanzisha biashara ya maziwa ya mgando nikawa nabeba vyote mpaka leo.
Changamoto ni nyingi na faida pia inapatikana nimeweza kununua freezer na delli mbili chupa za chai nne kubwa meza za plastic mbili viti sita. Ninaomba msaada wa kimawazo juu ya hizi biashara maana naona umefika wakati wa kushikilia moja kwa sasa hasa kuweka kijiwe kabisa ili asubuhi natembeza namuacha binti kwenye kijiwe nikirudi tunaendeleza mpaka jioni.
Tuanzie kwenye samaki, hawa wanatembea mno ila wana gharama sana kwenye kuwaandaa na hata upatikanaji wake.na faida ni robo ya kile ulichowekeza, kwa upande wa maziwa pia pako vizuri na hamna changamoto sana na faida unapata nusu ya uulichowekeza.
Naombeni msaada wenu nikimbizane na ipi kati ya hivyo, na vipi kuhusu location nzuri. Mimi niliopt Kijichi au Tabata.
Naombeni mnipe mwangaza.
View attachment 1271838
View attachment 1271839
View attachment 1271840
View attachment 1271841
Biashara ya samaki ipo fresh sana kinachotakiwa ni kujituma tuSafi sana, mimi nilikuwa na wazo La baishara ya samaki.tafadhali naomba contacts zako inbox tuwasiliane
Warren buffet alianza kwa kutembeza magazeti mtaani..ila sasa dunia inamtambuaHongera kwa kua jasiri,tulio wengi tunashindwa kufanya biashara hasa za mitaji midogo kwa kuangalia status zetu,
Ninatoa mrehesho wa mchango wako
Ahsante sana kaka kwa mchango wako nimetembea na maneno yakoLocation, muhimu ni wapi unauza kirahisi na haraka, kama hapo ulipo mzigo unatembea haraka komaa hapo hapo usifuate majina ya mtaa