Cleverman324
JF-Expert Member
- Nov 17, 2018
- 389
- 631
- Thread starter
- #41
Karibu sana kijichi mallemilk upate maziwa ,kagawa,na samaki wazuri fresh kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
biashara ni sawa na matrix.ujitahidi kuchukua muda wako mwingi kwenye matendo ya fikra na utenzi wa biashara yako....you inspire me mkuu,tuzidi kupambana
Hapa ndio kwenye tatizoHongera kwa kua jasiri,tulio wengi tunashindwa kufanya biashara hasa za mitaji midogo kwa kuangalia status zetu,
Hongera &big up sana..nakushauri usiishie kwenye kahawa pekee kuna watu wengine hawatumii kahawa kwaajili ya hali ya afya nimeona kwenye shelf kuna cocoa zipe majina yatakayomvutia mlaji ie Hot chocolate kwa wadada wadada utawavutia...
Swala la samaki au mtindi hapo inategemea na muda wako wa kuandaa ingawa mtindi hauharibiki ukilinganisha na samaki na jinsi ninavyokuona unaweza fanya vyote si ushanunua freezer kuhifadhia samaki in case wakibaki...ongezea microwave itakusaidia kupasha hizo bites au km hutaki unaweza weka half cake au maandazi mazuri ambavyo vinaliwa vya baridi..all the best
Ahsante sana mkuu suala la korosho linanipasua kichwa nazihitaji mno..pia kuhusu hizo aina za kahawa nazifanyia kazi...Khan kifaa kinaitwa milk brother nakitafuta sanaHongera &big up sana..nakushauri usiishie kwenye kahawa pekee kuna watu wengine hawatumii kahawa kwaajili ya hali ya afya nimeona kwenye shelf kuna cocoa zipe majina yatakayomvutia mlaji ie Hot chocolate kwa wadada wadada utawavutia...
Swala la samaki au mtindi hapo inategemea na muda wako wa kuandaa ingawa mtindi hauharibiki ukilinganisha na samaki na jinsi ninavyokuona unaweza fanya vyote si ushanunua freezer kuhifadhia samaki in case wakibaki...ongezea microwave itakusaidia kupasha hizo bites au km hutaki unaweza weka half cake au maandazi mazuri ambavyo vinaliwa vya baridi..all the best
Nimeamua kwa upande wa bite niweke karanga korosho na meat pie...magimbi na viazi vya kuchemshaHongera &big up sana..nakushauri usiishie kwenye kahawa pekee kuna watu wengine hawatumii kahawa kwaajili ya hali ya afya nimeona kwenye shelf kuna cocoa zipe majina yatakayomvutia mlaji ie Hot chocolate kwa wadada wadada utawavutia...
Swala la samaki au mtindi hapo inategemea na muda wako wa kuandaa ingawa mtindi hauharibiki ukilinganisha na samaki na jinsi ninavyokuona unaweza fanya vyote si ushanunua freezer kuhifadhia samaki in case wakibaki...ongezea microwave itakusaidia kupasha hizo bites au km hutaki unaweza weka half cake au maandazi mazuri ambavyo vinaliwa vya baridi..all the best
Mkuu wataelewa tu taratibuHongera sana hAssler.Ni bahat mbaya kuwa nyuzi zenye madini kama hizi hazipari wachangiaji wa kutosha.
Naiuza kwa sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alkasus mujarabu..
Ahsante sana mdauMwamba usife moyo zidi kukaza.Customer care izidi kuwa vizuri kwenye huduma zako zote na uaminifu.
Ahsante sana mdau tunakomaaNimekukubali bure,keep going brother.
Naiuza kwa sasa mkuu ahsante kwa kuniongezea madiniUza Alkasus mkuu kwa sasa ina wanywaji wengi sana.
Naiuza kwa sasa mkuu ahsante kwa kuniongezea madini
Ahsante sana mdau ila kuna kifaa kinaitwa milk frother nakitafuta sanaHongera Sana Kwa uthubutu
Madukani k/koo umeenda?? Au Jaribu kukitafuta kwenye mitandao ya manunuziAhsante sana mdau ila kuna kifaa kinaitwa milk frother nakitafuta sana