Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Mkuu uneshaanza, tupe mrejesho in depth.Pamoja na maelezo mhimu ya King, na kwakuwa nipo kwenye mchakato wa kuanzisha hii biashara naomba niongezee kidogo. Mimi nategemea kuifanya katika kwa kiwango cha kati na hivyo wateja wangu wakuu nitategemea mahotel na watu wa kipato cha kati na siyo mama lishe. Mambo makuu ninayoyafikiria ni haya
- Jina la kampuni linalofanana fanana na chakula-nitakuwa na matawi mikoa mitatu (Dodoma, Arusha, Dar)
- Location ya biashara-nafikiria iwe kwenye junction kama mwenge kwa Dar
- Means of Transportation-Nitakuwa na gari kubwa ya freezer kwaajiri ya kusafirishia kutoka Lake zone na kupeleka Arusha, Dar then Dodoma kabla haijageuza kurudi Lake Zone.
- Nitakuwa na Gari ndogo kila centre kwaajili ya kusambaza kwa wateja wa kudumu kama wenye hotel na mashule.n.k
- Nitakuwa na Deep freezer kwa kila kituo.
- Nitakuwa na standby Generator kukabiliana na changamoto za TANESCO kwa kila kituo
- Nitatengeneza machinjio ya kisasa-hii ni plan ya baadae baada ya kupata shamba la kutunzia mifugo
- Nitakuwa na shamba la mifugo ambayo ndiyo malighafi yangu
- Nitakuwa na kituo cha kukusanyia samaki hapo Mwanza-Natafuta mtaalam wa kutengeneza Coldroom
- Bidhaa nitakazoanza nazo ni-Nyama ya Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo. Kuku wa kisasa na kienyeji, Samaki aina ya Sato na Sangara, Lakini pia nitakuja na mchele kwa Arusha na Dodoma......tayari nina 100bags za kuanzia na nipo nafunga mshine ya kisasa ya kukoboa na kubangua mchele na kufunga 5, 10. 15, 20kg
- Project to start in June 2014.
Tafadhali mawazo yenu. Nipo tayari kulipa gharama za Busness Plan ila kwa mtu mwenye input ya maana.
mkuu mbeya upo sehemu gani,,kwa msaada zaidi ukihitaji ngomb'e nenda maeneo ya bonde la usangu siku za minada wanauzaga ng"ombe cheap sana,,Pamoja na maelezo mhimu ya King, na kwakuwa nipo kwenye mchakato wa kuanzisha hii biashara naomba niongezee kidogo. Mimi nategemea kuifanya katika kwa kiwango cha kati na hivyo wateja wangu wakuu nitategemea mahotel na watu wa kipato cha kati na siyo mama lishe. Mambo makuu ninayoyafikiria ni haya
- Jina la kampuni linalofanana fanana na chakula-nitakuwa na matawi mikoa mitatu (Dodoma, Arusha, Dar)
- Location ya biashara-nafikiria iwe kwenye junction kama mwenge kwa Dar
- Means of Transportation-Nitakuwa na gari kubwa ya freezer kwaajiri ya kusafirishia kutoka Lake zone na kupeleka Arusha, Dar then Dodoma kabla haijageuza kurudi Lake Zone.
- Nitakuwa na Gari ndogo kila centre kwaajili ya kusambaza kwa wateja wa kudumu kama wenye hotel na mashule.n.k
- Nitakuwa na Deep freezer kwa kila kituo.
- Nitakuwa na standby Generator kukabiliana na changamoto za TANESCO kwa kila kituo
- Nitatengeneza machinjio ya kisasa-hii ni plan ya baadae baada ya kupata shamba la kutunzia mifugo
- Nitakuwa na shamba la mifugo ambayo ndiyo malighafi yangu
- Nitakuwa na kituo cha kukusanyia samaki hapo Mwanza-Natafuta mtaalam wa kutengeneza Coldroom
- Bidhaa nitakazoanza nazo ni-Nyama ya Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo. Kuku wa kisasa na kienyeji, Samaki aina ya Sato na Sangara, Lakini pia nitakuja na mchele kwa Arusha na Dodoma......tayari nina 100bags za kuanzia na nipo nafunga mshine ya kisasa ya kukoboa na kubangua mchele na kufunga 5, 10. 15, 20kg
- Project to start in June 2014.
Tafadhali mawazo yenu. Nipo tayari kulipa gharama za Busness Plan ila kwa mtu mwenye input ya maana.
migori ya iringa tanzania..Migori ya KENYA au? Fafanua wapi ulipo
mimi nipo mwanza najishughulisha na shughuli za samaki na dagaa wa kukaanga ukihitaji taarifa zaidi 0759292980Wakuu heshima kwenu,
Wakuu naomba kusaidiwa kwa wenye uzoefu au uelewa wa biasha ya bucha za samaki, hasa ningeomba kusaidiwa katika maeneo yafuatayo;-
1) Upatikanaji wa frem za biashara,
2) Leseni ya biashara,
3) Mtaji wa kuanzia,
4) Namna ya usafirishaji wa samaki (Mwanza to Dar)
5) Upatikanaji wa wateja katika eneo husika (Dar),
6) Changamoto za biashara.
Eneo lengwa la biashara ni jijini Dar, natazamia kufanya biashara ya samaki wa maji baridi yaani kusafirisha samaki kutoka Mwanza mpaka Dar, naomba kujuzwa nimaeneo gani haswa hii biashara inalipa.
N.B. Hizi zote ni jitihada za kukubaliana na wito wa serikali yetu wa kutaka vijana tujiajiri japokuwa haiweki malengo ama mikakati ya vipi vijina tunaweza kujiajiri.
Naomba kuwasilisha wakuu, natumaini nitapata msaada.
unapatikana wapo mkuu asanteUnga wa mifupa ya samaki (mapaki) unatumika kama chakula cha mifugo kuku,nguruwe ...... nchek kwa namba hii 0762655938
Mkuu Na hiyo avatar yako nimeishia Kwanza kucheka tu..Nilishawahi kukutapeli wee unanifahamu Mimi Mkuu?.
Unafunga GPRSUkiambiwa chombo kimezama kumbe kipo wamekibaadilisha au wamekiuza unasemaje?