Biashara ya simu second hand

Biashara ya simu second hand

Sylver26

New Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
4
Reaction score
2
Jaman wanajukwaa mm nafanya biashara ya simu second hand nataka kupanua wigo wangu nauliza kwenu mana nimeambiwa Zanzibar kuna chimbo za hizi simu mwenye uzoefu au mwenye kujua anisaidie kuhusu hilo chimbo ( simu second hand namaanisha simu used )
 
Jaman wanajukwaa mm nafanya biashara ya simu second hand nataka kupanua wigo wangu nauliza kwenu mana nimeambiwa Zanzibar kuna chimbo za hizi simu mwenye uzoefu au mwenye kujua anisaidie kuhusu hilo chimbo ( simu second hand namaanisha simu used )
Nicheki mkuu.
 
Wanaita mtumba; zpo nying na kwa bei nafuu.
Jaman wanajukwaa mm nafanya biashara ya simu second hand nataka kupanua wigo wangu nauliza kwenu mana nimeambiwa Zanzibar kuna chimbo za hizi simu mwenye uzoefu au mwenye kujua anisaidie kuhusu hilo chimbo ( simu second hand namaanisha simu used )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom