Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Nimejaribu kupitia mawazo ya watu mbalimbali kuhusu biashara ya stationery, nimegundua kuelekezana na kukosoana ni jambao la msingi sana kwenye maisha, binafsi napenda kujifunza kile nisichokijua kwa wale walionitangulia katika jambo husika. Nitoe shukrani zangu za dhati kwa wale wote walioshiriki kutoa kile walichonacho bila hiyana, Mwenyezi Mungu akawafanye kuwa na Wingi wa Maarifa. Amen
 
Mkuu kwema? Waweza nipa mrejesho? Nipo tanga pia. Nishapata location nzuri. Nina hope niianze hii biashara
 
Mkuu kwema? Waweza nipa mrejesho? Nipo tanga pia. Nishapata location nzuri. Nina hope niianze hii biashara
 
Utaweza sana anza na ulichonacho. Hii biashara niliifanya kwa miaka 3 nlipoaiacha nikampa mtu ikafa ina faida sana kama location iko saf.
Unanunua kitu kkoo kwa 300 unauza kwa buku
Japo imepita miaka kadhaa, unaweza kunupa machimbo ya bidhaa za stationery kariakoo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…