Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hivi kutoa hizi huduma za RITA, NIDA, loss report Nk inahitaji kupata labda kibali? Au utaratibu gani unatumika? Au ni kuzama tu mtandaoni na kuzitoa?Kuna Rita, kuna nida,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kutoa hizi huduma za RITA, NIDA, loss report Nk inahitaji kupata labda kibali? Au utaratibu gani unatumika? Au ni kuzama tu mtandaoni na kuzitoa?Kuna Rita, kuna nida,
Unahitaji kibali kutoka hizo ofsi watakupa muongozoHivi kutoa hizi huduma za RITA, NIDA, loss report Nk inahitaji kupata labda kibali? Au utaratibu gani unatumika? Au ni kuzama tu mtandaoni na kuzitoa?
Ilove this businessWakuu naomba mawazo yenu.
Nina mpango wa kuanzisha stationery ya mtaji mdogo around mil 5 yani umo kila kitu mpaka fremu.
Naomba ushauri zaidi ya kuprint na kutoa copy pamoja na vifaa kama bahasha, rimu, kalamu, etc
Naweza vipi kuongeza thamani kwenye stationery kwa gharama ndogo lakini niwe na vitu vinavyoingiza buku buku kila siku?
Mie nimewaza huduma kama kutafutia watu TIN, kusaidia mifumo kama nest, heslb, loss report, kuomba vyuo na scholarship, kupiga passport size,
Vipi unaweza nishauri vitu vya ziads navyoweza kufanya bila gharama kubwa ila nikaongeza thamani?
Pia mimi nipo Dar mbezi ya kimara, ni location gani nzuri kwa hii biashara maeneo ya huku au ata Dar sehemu nyingine naweza kufika na kufanya research yangu.
Asanteni
Vipi unaifanya?Ilove this business
Ooh kumbe sikuwa nafahamu iliUnahitaji kibali kutoka hizo ofsi watakupa muongozo
Anakuja mwanaccm mmoja na litisheti lake kupakua video za pilau, hilo bundle la buku kwa saa itamlipa kweli ?Weka huduma ya internet (WiFi). Ambapo mwenye uhitaji anakja na kifaa chake anakulipa, iwe ni simu au pc, unamunga.
- Buku kwa saa moja.
- Itakulipa sana
aongezee na kufanyiwa wavyuo research reports zao, awe vizuri kwenye internet surfing na kutumia mifumo mbali ya internet.Mpango wako wa kuanzisha stationery unaonekana kuwa mzuri na umejumuisha huduma muhimu ambazo zinaweza kuvutia wateja. Ili kuongeza thamani kwa gharama ndogo, unaweza kuzingatia mambo yafuatayo:
Kuhusu location, unaweza kufanya utafiti maeneo yenye taasisi za elimu kama vyuo, shule, au karibu na ofisi za serikali kwani kuna watu wengi wanaohitaji huduma za stationery. Mbezi Kimara ni eneo zuri, lakini pia unaweza kuangalia maeneo yenye msongamano wa watu kama Kariakoo au Sinza.
- Huduma za Kucharaza Barua na CV: Toa huduma ya kuandika na kuchapisha barua za kikazi, CV, na wasifu wa kitaalamu (resume) kwa watu wanaotafuta kazi au fursa za masomo.
- Huduma za Kutoa Viapolo/Notarization: Kwa gharama ya chini, unaweza kuingia kwenye ushirikiano na wakili au mthibitishaji ili wateja wawezeshwe kuthibitisha nyaraka zao kwenye stationery yako.
- Kuweka Kioski cha Intaneti: Weka kompyuta chache kwa ajili ya wateja kutumia intaneti kwa shughuli kama kuomba kazi, vyuo, au kufanya utafiti mdogo. au pia weka router watu wa karibu na stationary yako wanaweza kutuma kwa gharama ndogo ya buku kwa siku.
- Kubuni na Kuchapisha Kadi za Biashara au Mabango: Toa huduma za kubuni na kuchapisha kadi za biashara, mabango madogo (brochures), na vyeti.
- Photocopy ya Kitabu Kikubwa (Binding Services): Ongeza huduma ya kufunga nyaraka na vitabu vikubwa vya taarifa au ripoti.
- Stationery ya Ubunifu: Nunua bidhaa za ubunifu kama vibandiko vya kiofisi, karatasi za rangi tofauti, na vifaa vingine vya kazi za mikono, ambavyo vinahitajika sana na wanafunzi na walimu.
Ukifanikisha kuongeza huduma hizi, unaweza kuvutia wateja wengi zaidi na kuongeza mapato kila siku.
Kimsingi wanao fanya download za movie ndio walengwa hasa.hilo bundle la buku kwa saa itamlipa kweli ?
Hapo sawa.Kimsingi wanao fanya download za movie ndio walengwa hasa.
Kwa sasa ISP karibia wote wana Unlimited internet package amabapo unalipia speed, yaweza kuwa 10mbps, 20mps na zaidi, na utafanya download kwa kadri ya uhitaji wako. malipo ni fixed kwa mwezi.
Hivyo mteja hata kama atahitaji afanye downoad ya 100GB ni yeye tu na muda wake, haimuthiri mtoa huduma.
NAKAZIAKwa experience yangu ukiwa na jambo lako ukawa unaliombea ombea ushauri na maoni ya watu HALIFANIKIWI
Mkuu unaweza kunipa Mwanga jinsi inavyofanyika.Weka huduma ya internet (WiFi). Ambapo mwenye uhitaji anakja na kifaa chake anakulipa, iwe ni simu au pc, unamunga.
- Buku kwa saa moja.
- Itakulipa sana
Umeanza biashara?Ooh kumbe sikuwa nafahamu ili
Ooh kumbe sikuwa nafahamu ili
Hiyo 3 camera ya passport size inauzwa sh ngapi na wapi zapatikana?Usisahau na huduma hiz hapa
1. mpesa, airtel na Yas.. hata ukianza na mtaji wa laki 5 sio Mbaya
2. Ka fridge kadogo ka kuuza maji na soda, ila hii utaangalia na mazingira ya eneo kama Hayajabana sana
3. Huduma za passport size. Siku hiz kuna vi dijital printer bei rahs tu .. weka vitambaa vyako (cha blue na cheupe)
Camera yako Na printer basi inatosha