Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Niuzie huyo jikeNina sungura jike mkubwa kushinda dume ila dume anapanda majike wengine isipokuwa huyo mkubwa sana, swali nitafute dume mkubwa sana au nimuache huyo huyo IPO siku atampanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niuzie huyo jikeNina sungura jike mkubwa kushinda dume ila dume anapanda majike wengine isipokuwa huyo mkubwa sana, swali nitafute dume mkubwa sana au nimuache huyo huyo IPO siku atampanda?
Alishazaa huyo jike mkuu, kadume kale kale kalimzalisha. Alizaa watoto 9.Niuzie huyo jike
Kama jina lako wewe kweli ni UTOMpeleke huyo jike mkubwa Police waandae charge sheet apelekwe mahakamani, Ana kesi ya kujibu
ka unawengine unaweza nipatia?Alishazaa huyo jike mkuu, kadume kale kale kalimzalisha. Alizaa watoto 9.
Mkuu mie ndio nimeanzisha huo ufugaji ukitaka nikupatie hii mbegu kubwa subiri december uje uchukue.. unaenda kuanzisha ufugaji wa uhakika..ka unawengine unaweza nipatia?
sawa mkuuMkuu mie ndio nimeanzisha huo ufugaji ukitaka nikupatie hii mbegu kubwa subiri december uje uchukue.. unaenda kuanzisha ufugaji wa uhakika..
Sungura huptikna ulaya Zaid kulko bara jingneNi ujuha kupigwa kirahisi namna hiyo! Hivi utaambiwaje ufuge kitu ambacho hujui soko lake wala hujawahi kusikia soko lake hata siku moja? Mtanzania anaanguka kwa kukosa maarifa na kupenda mteremko.
Sasa kama sungura wana soko nchi za Ulaya wafugaji wake watashindwaje kuwafuga? Mbona wanafuga kuku, ngombe, nguruwe etc tena kwa wingi na bei zake ni rahisi kuliko hata huku kwetu?
Njoo nikuunganishe na masista Wana sungura wazuri. Wapo Iringa huwa wanauza 20,000 sungura mkubwa.ka unawengine unaweza nipatia?
niko mbali na iringaNjoo nikuunganishe na masista Wana sungura wazuri. Wapo Iringa huwa wanauza 20,000 sungura mkubwa.
Aiseee ni kwel haya mambo usipotumia Muda kidgo utapigwa badae uanze kujuaJamaa yangu aliuziwa sungura sita wa mbegu kwa jumla ya shilingi milioni moja na laki nane (1,800,000). Ni kama sungura mmoja ni shilingi laki tatu (300,000).
Hiv chakula special cha sungura nini na kinapatikana wapiKinadharia ufugaji wa sungura kibiashara ni jambo lenye kuleta matumaini sana, lakini kiuhalisia ni biashara yenye utata mkubwa sana kwa hapa kwetu Tanzania.
Makampuni mengi yanayohamasisha ufugaji wa Sungura ni kama yale makampuni ya uuzaji bidhaa kimnyororo (Supply Chain companies) ambako faida inapatikana kwa kuongeza washiriki kwenye biashara husika.
Unapoingia kwenye ufugaji wa kibiashara wa sungura, Makampuni mengi yaliyoko hukuuzia sungura wa kuanzishia mradi, kukujengea banda, kukuuzia chakula cha sungura mengineyo utajijua mwenyewe, kwani ahadi nyingi za kutafutiwa soko la sungura huwa ni Uongo wa kupindukia ulipangiliwa kiakili sana
Nadhani wale wanaotaka kufuga sungura kibiashara wajaribu wenyewe kwanza kutengeneza soko la nyama ya sungura kabla ya kufuga sungura hao kwa wingi.
------------------
Soma maoni ya mdau juu ya jambo hili
Si kwamba ufugaji wa Sungura ni utapeli, no ni uwezo wetu wa kuwaza umeisha
Unawapa niniBinafsi nimfugaji wa sungura toka 2013 hadi leo mim nafuga tu kwa 7bu.
Nawapenda kuwaona kula pia uwa nauza mim nafuga tu kienyeji ila wananikomboa vitu vidogodogo cja waikupata changamoto kihivyo eti soko hakuna mala njoo semina mim nilienda polini nikawinda hadi leo hii mim ninao na nauza bilashaka sas cjajua tatizo nin wanazengwe
Sent using Jamii Forums mobile app