Biashara ya Sungura imejaa utapeli wa hali ya juu sana

Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Sungura huptikna ulaya Zaid kulko bara jingne
 
Jamaa yangu aliuziwa sungura sita wa mbegu kwa jumla ya shilingi milioni moja na laki nane (1,800,000). Ni kama sungura mmoja ni shilingi laki tatu (300,000).
Aiseee ni kwel haya mambo usipotumia Muda kidgo utapigwa badae uanze kujua
Kuna watu wanajiita SAORE co watu wazuri kabsa matapeli tu na serikali inawacheki
Wanakuja kukushawishi vizur ukijua ushatoka kimaisha utakavyokuja kupigwa hutoamin
Kama **** mwanainch anataman afuge sungura tafuta anayefuga nununua na sungura Hazid 20,000 kwa bei tofaut na sehem
 
Hiv chakula special cha sungura nini na kinapatikana wapi
 
Unawapa nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…