Biashara ya Uchawi Tanzania

huku mtaani kwetu watu wananong,ona kuwa marehemu Kanumba ametolewa kafara ya ki free masons na safari zake za marekani zinahusishwa na huko eti amekosea masharti, je inaweza kuwa kweli mkuu maji moto?

Nafasi ya mafanikio aliyofikia alifikiri anaweza kusimama peke yake, Upande wa Mungu alikuwa dhaifu sana, upande wa shetani alikuwa juu, ndiyo maana usiku wa manane alikuwa na kabinti cha miaka 17, kama alitembea nacho ni sawasawa na kosa la kubaka, na ni kosa lenye adhabu kwa sheria za Tanzania, mbaya zaidi uhusiano wake na mzazi wake wa kiume ulikuwa siyo mzuri.

Hizi ni sababu tosha kwa wabaya wake kumchukua kimazingara na kuanza kumtumia yeye na nyota yake kuendeleza vipaji vyao.
 

Hili Jini nadhani linapiga kazi sana maeneo ya Zenji hasa kwa hawa jamaa wanaojiita Uamsho maana wanatukna matusi mazito kwa viongozi wa Serikali hasa kutoka Bara na Wakristo kwa ujumla halafu nahisi hata yule Jussa wa CUF analp hili jini
 


....Mkuu, so ina
 
...Mkuu, so inamaana SK atakuwa ameondonka kwa mfumo ule wa Gamboshi?.. Na kama ndivyo, vp viongozi wetu, hasa wale walio wanachama wa Freem. Watakuwa wanaijua deal?.. Au je mazishi yake na ushiriki wa bega kwa bega wa serikali yetu, italuwa ni sehemu ya kutimiza wajibu wao toka Freem.?... Au vipi taratibu za hawa jamaa pindi unapokosea
 

Msingi mkuu wa shughuli za uchawi ni usiri, wachawi ni wasiri sana, sana. Mkeo au mumeo anaweza kuwa mchawi lakini mwenza wake katika ndoa asijue kabisa, na wakaishi wakawa wazee bila ya kujuana. Wachawi wanauwezo wa kujigeuza maumbo na kuvaa maumbo ya wanyama au ndege wakiwanga ili wasijulikane, pia wanayo mapazia ya kichawi ambayo huvaa wasionekane wakiwa kwenye vikao vyao vya kichawi.

Wachawi watoto, sasa hivi ni wengi kweli kweli kwenye fani hii hasa kuanzia miaka kumi (10). Wazazi hasa wa Dar es Salaam, siyo ajabu mwanao ni mchawi bila ya wazazi kujua kwani shughuli hii hutawaliwa na usiri wa hali ya juu.

Adhabu ya mchawi anayetoa siri za wachawi wenzake adhabu yake ni kifo, wanamuua kabisa, damu na nyama yake huandaliwa karamu inayoshirikisha wachawi wote.
 

Asante
 
Hongera kwa taarifa zako, hata hivyo ikiwa uchawi unaweza leta kweli mafanikio basi nafikiri ni wakati wa kuutumia kama uvumbuzi wa kisayansi kwa ajili ya maendeleo ya jamii. Kama hilo haliwezekani, ni ushenzi mbele za watu na Mungu pia. Ni vyema watu wakaangalia maisha na kumwabudu Mungu wao kwa uhakika. Uchawi wa kweli ilikuwa kuwasha moto kwenye kibuyu- bulb, wakiwapo wa namna hiyo tutawahamasishwa wajifunze zaidi. Wakiwapo wa kuweza kutoa huduma ya kuruka kwa ungo kama njia ya usafiri bila vikolombwezo vya kijinga tutawaheshimu; zaidi ya hapo wapotelee kizani na shetani wao kwa jina la Yesu.
 
Juzi juzi town jamaa alitinga bank na gari moja hatari akiwa na suti matata miwani mikubwa na mkoba wa kuninginiza mkononi!kimtindo anaonesha ni mwenyefweza za kutosha....

wakati anashuka jamaa wa kubrushi viatu pembeni akaanza kutoa sifa da wana mmemuona boss maisha ndio hayo watu wanakula gud time bana wee acha tuu....anawadca watu wa vijiweni walioketi pamoja...jamaa kaingia bank aliipotoka akamfata akamwambia we unaona me napata raha sana si?
Fundi viatu oo we mwenyewe huoni bana kwani mm sitamani kuwa na gari kama lko kuvaa suti nzuri nami nionekane nazimu ka wewe?
Jamaa amuuliza swali unalitaka gari hili? Basi vaa miwani hii japo kidogo tu! Akavua akampatia!
Jamaa kuvaa akaanza kupiga kelele....
Bosi likachukua miwa akaingia kwenye gari nduki!jamaa mikelele mpaka jamaa anapotetea ndio anaanza kuadisia eti lile sio gari bari nijeneza lenye matairi alafu watu wote alikua anatuona mafuvu matupu...
Nikamuacha wamemjalia hapo me nikawai hotuba ya raisi kutangaza baradha la katiba mpya...coz nlijua tuu nini kinaendelea.
 

Ni kweli 1/3 ya Magari yanayotembea barabarani Dar, ni magari kutoka kuzimu, nimeeleza kuhusu haya magari katika post zangu za nyuma ukiyaondoa tatizo la foleni Dar litakwisha siku hiyo hiyo. Wapo tu kuleta usumbufu barabarani, tulifuatilia gari moja aina ya benzi salon kwa nyuma ilikuwa nzuri sana, lakini jinsi lilivyopotea ilitushangaza, tulichukua namba za ile gari na kufuatilia TRA, ajabu tulipewa jibu kuwa namba hizo zimesajili traler la tractor.
 
hali yako mkuu, me naulza vp kuhusu pete? make naona watu weng cku hz wanavaa pete kubwa kubwa ukiachilia mbali pete za ndôa.mf. hta wakuu wa nchi na watu wenye pesa au hadh flan wana mapete makubwa kwny mkono wa kulia wanadai kuwa ni urembo. je kuna zaidi ya hlo?
 
Ndugu yangu majimoto, naomba unisaidie kukutana na mmoja kati ya hao wachawi nimweleze jambo, nipe hata namba za simu kama unazo nifanye utafiti. katika kila mkoa ulioutaja nipatie Mchawi mmoja tu.

Then nikiongea naye nitaleta ripoti hapa hapa kwa wana jamii, au wewe umpigie umuulize yule jamaa kakwambia nini.

I am serious Please
 
Sitaki mwanga wala mwaguzi, I mean MCHAWI AMBAYE NI SUGU KAZINI
 

Zipo aina nyingi za hirizi, pete za dhahabu au za madini aina yoyote, mikufu ya dhahabu shingoni, vishikizo vya shati au koti, mikufu wanayovaa kina dada chini ya miguu (jina lake limenitoka), watu wa kileo hawataki kuonekana washirikina kwa kuvaa hirizi nyeusi kiunoni au chini ya kwapa, zote hizo ni hirizi aidha za kinga au za kuumiza watu.
 

Mbona wapo wengi mitaani na matangazo yenye namba zao kwenye mbao zao za matangazo.
 
No No No, Mimi namwabudu Mungu aliye hai ambaye ni Kiboko cha majini.....kwake wachawi wote wanasalimu amri.
Nguvu ya Mungu ndani ya mtu ni kuu kuliko uwezo wa wachawi....nikiongea na mchawi hata kama ni kwenye simu tu,anahisi uwepo wa MUNGU anaweza kuwa bubu kabisa.

Hawa wa mtaani ni matapeli wenye njaa zao. hebu fikiria unakuta bango limeandikwa"TUNAINGIZA AKILI ZA DARASANI KICHWANI MWA MWANAFUNZI, BEI MAELEWANO" HALAFU UNATOA HELA UAGULIWE, kawa sio wendawazimu ni nini? badala mtu ajisomee kwa bidii na kufuata mtaala uliopendekezwa na vyombo husika...anadanganyika.
 
Hapa kunakuwa na nguvu mbili tofauti, NGUVU YA MUNGU LAZIMA ISHINDE!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…