Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

Ha!! Ndugu nyangu makanisa mengi yenye theology ya kimarekani na kinaigeria Ushuhuda unaotolewa na usanii na wanatumia ujanja kama wasanii wenzao anina Manjaunjau wa kula dili na mtu wa mbali na eneo husika na baadae kujifanya wamemtengua akiwa mkwenye safari za kichawi au kuficha madude sehemu na baadaye kusema kuwa wametegua uchawi. basi mbinu hiyo hutumiwa na makanisa hayo "mutatis mutandis'ukiona kanisa lolote limeweka ushuhuda kuwa ni sehemu muhimu ya ibada yao kimbia ufe hapo hakuna kitu ni usanii na wanafanya mazingaumbe ili wapate wateja.Hii abari ya uhuhuda sijui inatoka wapi maana miujiza original ya Yesu ilikuwa haina mabango.hata baada ya kuwaponya wale wakomo 10 aliwakataza wasitangaza. Muumini wa kizazi cha leo uwe makini usije ukawa unahudhuria kenye makanisa unasali,unaimba,unatoa sadaka na zaka ukadhani zinaenda kwa Mungu kumbe zinapinda kwenda kwa shetani kwa sababu ibada na miujiza inayofanyika ni ya nguvu za ibilisi'."CAVIAT EMPTUR'

Okaoni, unachosema nakubaliana nacho kabisaaaa!! Ila hii case ni tofauti kidogo maana hao naowazungumzia na nawajua na kazi zao za 'kuharibu' mawasiliano ya watu na Mungu kwenye mahubiri au maombi. Na hii najua kwani niko katika kikundi cha maombi na huko tunakutanaga na vituko kwa kweli maana wankuja watu 'watakatifu' kweli kumbe ma-agent na 'wananena' ila ukiwaangalia wanajificha usione wananenaje maana wananena vya kwao ili kupunguza makali ya maombi. Pindi ukiwashtukia na kuanza kupambana nao wanapoteza network na kuwa kama hawajui wanafanya nini wanabakia kushangaa tu. At least hao tunawajua sasa kuna wale ambao hawajulikani na watu wengi hawajui kama kuna vitu kama hivi. Unamkaribisha 'mtumishi' nyumbani kwako kumbe anakuja kukushindilia majini/pepo....
 
okaoni, unachosema nakubaliana nacho kabisaaaa!! Ila hii case ni tofauti kidogo maana hao naowazungumzia na nawajua na kazi zao za 'kuharibu' mawasiliano ya watu na mungu kwenye mahubiri au maombi. Na hii najua kwani niko katika kikundi cha maombi na huko tunakutanaga na vituko kwa kweli maana wankuja watu 'watakatifu' kweli kumbe ma-agent na 'wananena' ila ukiwaangalia wanajificha usione wananenaje maana wananena vya kwao ili kupunguza makali ya maombi. Pindi ukiwashtukia na kuanza kupambana nao wanapoteza network na kuwa kama hawajui wanafanya nini wanabakia kushangaa tu. At least hao tunawajua sasa kuna wale ambao hawajulikani na watu wengi hawajui kama kuna vitu kama hivi. Unamkaribisha 'mtumishi' nyumbani kwako kumbe anakuja kukushindilia majini/pepo....
poa mtumishi endeleza maombi hayo madude kweli yapo kwenye mwanga giza hujitenga ila uwe makinina hizo element za manabii wa uongo kama utazigundua.
 
poa mtumishi endeleza maombi hayo madude kweli yapo kwenye mwanga giza hujitenga ila uwe makinina hizo element za manabii wa uongo kama utazigundua.

Amen mtumishi... Na baadhi yao tunawaona kwa televisheni badala ya kuhubiri kuhusu upendo wao ni kujisifu na kuponda wengine yani utawajua tuu Mungu atusaidie kwa kweli maana ni wengi huko mitaani. Wanajisifu wanatoa pepo etc wakati Yesu ndiye anayetoa na kutetea Jina lake..
 
Wachawi huchezea na kuumiza watu wengi sana usiku. Wanapoingia chumbani kwako hupulizia dawa za usingizi za kichawi unalala usingizi mzito kama wa mgonjwa anayefanyiwa upasuaji hospitalini, wakishapuliza mchawi mmoja hukaa juu ya kifua chako kama vile anaendesha pikipiki na mchawi mwingine hukaa juu ya miguu yako kama vile anaendesha pikipiki halafu wachawi wanaangaliana. Machawi aliyekaa juu ya kifua chako karibu ya shingo huruka juu na kutua juu ya kifua chako kwa mata.ko kwa nguvu, akitua chini, mchawi aliyekalia miguu yako naye huruka juu na kutua juu ya miguu yako, mchezo huo huendelea hadi wanahakikisha kuwa kipigo hicho kimekuigia vizuri.

Wakati mwingine wachawi huwa wanachukua watu wazima wazima usiku na kuondoka nao kwenda kuwanga. Wanachofanya huingiza mzimu wa uchawi ndani yako ukiwa umelala, mzimu ukishaingia unainuka kitandani na unaondoka nao kwenda kuwanga, aidha kama siku hiyo ni siku ya kucheza ngoma za kichawi nawe utashiriki, kama siku hiyo ni siku ya kwenda makaburi kufukua maiti utashiriki na kula nyama za maiti, kama siku hiyo ni siku ya kuingia ndani ya nyumba za watu na kukalia watu nawe utakuwa ndio namba moja.

Ndiyo maana, utakuta watu wengi wanapoamka asubuhi, wanakuwa wachovu kwelikweli, shingo zikiuma na miguu ikiwaka moto. Kama umeamka asubuhi na kuanza kunyosha mikono kila upande na kupiga miayo mingi, ndugu ujue ulikaliwa usiku huo.

Kwa kawaida mtu akiwa na njaa huwa mlegevu na kupiga miayo, akipewa chakula njaa hutulia na anapata nguvu mpya, mtu pia akiwa na kiu akipata maji ya kunywa kiu huisha na kupata nguvu hasa kwa wale wanaofanya kazi ngumu juani.

Mtu akiwa amechoka huhitaji mapumziko, mapunziko mazuri ni kuulaza mwili kitandani au juu ya mkeka na unapoamka mwili unakuwa mchangamfu na mwenye nguvu. Tatizo kubwa hutokea unapolala usiku, kwa nini unapoamka mwili uwe mchovu, wakati dawa ya uchovu ni usingizi?. Ndugu hiyo ndiyo kazi za wachawi kuchezea watu usiku kama vile chapati inavyogeuzwa ikiwa ndani ya kikaango ndivyo hivyo hivyo wanakugeuza na kukukalia kwa nguvu usiku.

According to ur story...kila cku nashiriki.
 
Thanks kwa maelezo mkuu
kama huwa wanakupulizia usingizi mnono sana inakuwaje huwa nahisi kabisa kuwa hapa kuna kitu hakipo sawa na kuanza kupambana nao kwa kukemea na hatimaye wanakimbia? na lengo lao huwa ni nini? kukuchezea tu au kuna mengine mabaya wanaweza kukufanyia?

Kama damu mkali ndio wanamchezea,mwisho wanakulaga mambo ye2 yale.
 
Kwa kawaida nyama ya binadamu siyo rahisi sana kuliwa na mtu yeyote bila sababu, kwenye ulimwengu usioonekana wachawi wanazo bucha zao wanauziana wao kwa wao nyama za binadamu kwa kutumia pesa za kuzimu, pesa za kuzimu ni tofauti kabisa na pesa tunazotumia. Mathalani bei ya maini ya binadamu kwa sasa wanauziana kwa pesa 3,000.00

Karibu vyakula vyote na maji yanayouzwa mitaani au kando ya barabara siyo halisi. Epuka kufanya manunuzi ya chakula kinachotembezwa mitaani kikiwa ndani ya ndoo. Wengi wamekuwa wakidhani wanauziwa wali, lakini mingi siyo wali kwa asilimia zote. Pia epuka kununua vitambaa vya mkononi vinavyouzwa kando kando ya barabara.

Kama kuna kitu kinaumiza watu wengi hasa wasichana na akina mama ni manunuzi ya hereni, bangili, shanga na pete zinatotembezwa mitaani. Nyuma ya vitu hivyo vingi vimebemba roho za mauti.

Kwa ufupi usinunue chakula, maji au mapambo kwa mtu asiyekuwa na makao, kwa maana kwamba hana eneo lake la kufanyia biashara ni mtu wa kuhama eneo moja kwenda eneo lingine na eneo alilofanyia mauzo ya bidhaa zake za mauzauza hutoweka kwa muda hata mwezi au zaidi bila ya kurudi eneo hilo tena.


Wewe umekosea..MAINI siyo 3,000,maini ni 5500.Steki ndio 3000.
 
Mkuu Majimoto,
Heshima mbele.
Mimi ni kijana Mtz, naishi huku ughaibuni. Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana mada zako. Labda niseme tu kwa ufupi kwamba ninalo TATIZO. Ninacho Kuomba ni Hiki: Nitakuwa likozo nyumbani Tz katikati ya mwezi May - Mwanzoni mwezi June. P'lz naomba unielekeze jinsi ya kukutana na wewe
 
......Ili tuliangalie na kulijadili KUBWA hili hili linalonisibu.
Natanguliza Shukrani.
 
Unajua ni kudharau asilia tuu!
Ivi hawa ambao wana uwezo wa kuleta mvua tukiwatumia kujaza mtera kuna issue!
Au wale waliokuwa wanabea watu toka Tunduma kwenda DSM kwa gharama nafuu,mda mfupi and environment friendly means of transport!
 
Mkuu Majimoto,
Heshima mbele.
Mimi ni kijana Mtz, naishi huku ughaibuni. Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana mada zako. Labda niseme tu kwa ufupi kwamba ninalo TATIZO. Ninacho Kuomba ni Hiki: Nitakuwa likozo nyumbani Tz katikati ya mwezi May - Mwanzoni mwezi June. P'lz naomba unielekeze jinsi ya kukutana na wewe

Karibu nyumbani, nitafute ukifika.
 
According to Majimoto kuwa vijana wengi siku hizi hawafi ila wanachuliwa na wachawi kwenda kuzimu,especially wale wenye vipaji na elimu ......so Kanumba death might fit in this sceanario,au sio?
 
According to Majimoto kuwa vijana wengi siku hizi hawafi ila wanachuliwa na wachawi kwenda kuzimu,especially wale wenye vipaji na elimu ......so Kanumba death might fit in this sceanario,au sio?

Haiwezekani jitu na maguvu yake asukumwe na kabinti ka miaka 18 aanguke na apoteze maisha, haiwezekani.... kilichokuwa kinatafutwa ni iwepo sababu ya aina yeyote ya kuhalalisha kifo chake.....
 
hivi maji moto unahushudua ama kitabu ningependa kujua.

and pia kuna tofauti ya uluminate na freemasons?

asante btw nimekuwa nikifwatilia sana na pia vipi kuhusu weaving au rasta zinawza kuwa na roho?
 
Mkuu Majimoto
Mimi maranyingi sana usiku huwa nahisi kama vile nimevamiwa na mwili huwa mzito sana huwa nahisi kabisa kuna wachawi wananichezea na huwa siwezi hata kutikisika na sometimes huhisi kukabwa ila cha ajabu nikiwa kwenye hali hii huwa najikuta nakemea bila kujijua kwa kutumia jina la Yesu na nikiona mpambano umekuwa mkali huomba msaada wa damu ya YESU na moto wa roho mtakatifu hapo hata kama walikuwa wengi kiasi gani na wakali kiasi gani lazima watoke nduki na nikishtuka naona kabisa mwili wangu upo tofauti na najihisi tofauti ninachoshangaa ni kuwa huwa nipo usingizini akili ya kukemea huwa naitoa wapi? huwa inakuja automatic? na kwanini? Na cha kushangaza mimi sijasimama sana katika imani japokuwa naamini Mungu ndo kila kitu na sina kinga zozote za kiganga!!!!! na hii huwa inatokea sana siku nikijisahau kulala bila kusali
Maelezo tafadhali

dah mimi pia huwa natokewa na scenario kama hii 100% msaada plse majimoto
 
dah mimi pia huwa natokewa na scenario kama hii 100% msaada plse majimoto

bibliography siyo kuwa unahisi unavyamiwa, ni kweli kabisa unavamiwa na wachawi wameshakufanya uwanja wao wa kufanyia mazoezi ya ulozi, ndiyo maana asubuhi unaamka mchovu, na baadhi ya viungo vya mwili wako vikiwa vinauma.
 
Mkuu hiyo namba nne kuna siri gani hapo? Mbona viongozi sijawaona hapo maana nasikia nao ni wateja wakubwa wa uchawi.

Huyu ni mwanafunzi wa kidato cha tatu, unajua f3 hudharau sana f2. Alafu ama atakuwa ni mchawi kutokea Sumbawanga au Katavi kama si Simiyu.
 
huku mtaani kwetu watu wananong,ona kuwa marehemu Kanumba ametolewa kafara ya ki free masons na safari zake za marekani zinahusishwa na huko eti amekosea masharti, je inaweza kuwa kweli mkuu maji moto?
 
hivi maji moto unahushudua ama kitabu ningependa kujua.

and pia kuna tofauti ya uluminate na freemasons?

asante btw nimekuwa nikifwatilia sana na pia vipi kuhusu weaving au rasta zinawza kuwa na roho?

Hakuna tofauti wote ni mawakala wa shetani, tofauti ni utendaji wa kazi zao, freemasons ni wachawi wanaofanya kazi ya uchawi wakiwa kwenye mazingira ya kisasa, wana ofisi nzuri wanatumia vifaa vya kisasa kabisa kiasi kwamba siyo rahisi kuwatambua na huwa ulozi wao siyo wa wivu wivu kama wachawi wa mlingotini wanaologa mtu aliyejenga nyumba ya bati. Wao hushughulika na jinsi ya kupata mali, kujenga viwanda, kujenga majumba, kulima mashamba makubwa kwa msaada wa kuzimu.
 
Back
Top Bottom