Biashara ya Uchawi Tanzania

Jaman sumbawanga ni noma kwa uchawi, kam hujawah kushuhudia radi ikpga na inamuua mtu mchana kweupe kwenye jua kali, njoo rukwa uone
 


Hapo Upanga Dar Es Salaam ingekuwa ni vyema sana ukifafanua kuwa ni Salender Bridge...
Mwanza hakuna lango, ila Shinyanga lango lipo Gambosh...
Iringa hakuna lango, ila lango liko Mbeya...
Iringa kuna kijiji tu kina waabudu uchawi wengi yaani Tanangozi...
 
tusiongee mabaya tu, na mazuri ni vema tuyaweke wazi. mimi naomba kujua mkoa ambao wanamcha Mungu sana ni upi
 
all in all ni Kiranga tu ndie anayeweza kuniaminisha kuwa haya mambo ni ya kweli au laa...
 
Nimejitahidi kusoma page ya kwanza mpaka hapa ilipofikia yaani duh! Nimefunguka sana,kumbe kuna mengi tusioyajua yanaendelea nyuma ya pazia!

Ningefurahi zaidi wadau wa haya masuala kwa maana ya wahanga au wale ambao yamewakuta wakatupa njia za kuepuka mitego ya hawa jamaa! Najua kikubwa ni imani na kumuomba Mungu lakini naamini hawa mabwana pia wanaweza kutupa mwanga!
 
Duh jamaa deep na logical, sasa maisha ya watu wa kawaida ambao hawana uwezo wa maono ya ulimwengu usioonekana wataponaje na haya mambo?

Kama vile kuondokana na hizi nuksi?

Mpokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako and and be free. Vinginevyo pasipo yeye tuko kwenye risk kubwa sana as anything can happen any time.
 
Hii thread ngum jaman tuache utan, ina maelezo mazito yenye kubadili mtazamo wa yyte mwny Imani haba na Wachawi...lakni ni Jina lake Bwana Yesu pekee ndilo lenye uwezo na uweza wa kutuponya na machafuko haya. Tulisome Neno jaman.....

Nakushkuru Majmoto/Mama Porojo kwa maelezo yote ya umu ingawa post yako ya #581 imenishangaza sana...imeenda kinyume kabsa na maelezo yako ya awali kuwa awa jamaa huwa hawana nia ya kujenga/kuendeleza bali uwa wanaharibu tu.
 
mbona wenye kesi mahakamani hawajatajwa? wewe unadhani kesi kama za rada, na mikataba ya madini zimenyamaza bure? kuna mtu kapika ndimu hapo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Duh, kaazi kweli kweli. Hivi si kuna kipindi nyerere alitangazwa mwenye heri na yuko kwenye process za kuwa mtakatifu ili kama ambayo tunafanya maombi kupitia watakatifu wengine kama bikira maria na Yuda Thadei na wengineo tuwe tunamtumia?
Kumbe kalikuwa kachawi... Wengine watasema alitubu kabla hajafa na blablablaaaaaa. Ni vema kuangalia neno la Mungu linasema nini na tunafanya nini...Mfano tumeambiwa tumuombe Baba kwa jina la Yesu naye atafanya ili apate kutukuzwa. Pia Yesu alitufundisha jinsi ya kuomba katika Mathayo 6:9-13 Baba yetu uliye Mbingun jina lako.... Sasa hii ya maombi kupitia mtu mwingine aliyekufa zamani kuwa kiunganishi kwa Bwana na hili la kumtubia padri na ma ubani, na ibada za wafu (kuombea na kuwa kumbuka marehemu wetu) ni kinyume na maandiko kabisa yanatoka wapi wakati biblia imekatza wazi wazi?. Na haya ndiyo yanaitwa mafundisho ya kishetani maana ni kinyume kabisa na neno. Soma mwanzo mpaka ufunuo hutaikuta rozari hata sehemu moja. Ndio maana hautakaa uone matendo makuu ya Mungu katika ibada za namna hiyo. Ukifanya maombi juu ya hili Mungu atakufunulia na utaona ukweli.

Ukristo mtu hazaliwi nao, unapata kuwa mkristo unapo pewa habari njema (injili), kuamini na kukiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana. Kuanzia hapo unakuwa mtoto wa Mungu kama Yohana 1:9-12. Kubatizwa mtu habatizwi akiwa mtoto mdogo hana uelewa wowote, Yesu ndiye tunayemfuata alibatizwa akiwa matured (ikiumbukwe inatupasa kuishi kama Yesu ili tuwe wakristo kweli kweli). Ukristo sio dini na dini sio za Mungu bali ni za wanadamu na harakati zao. Yesu aliteta wokovu hakuleta dini period. Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa mwanawe wa pekee ili kila amwaminie asipotee bali awe na uzima wa milele. Jamani Mungu yupo na ukiwa na Mungu unakuwa zaidi ya wachawi na boss wao shetani. usiangalie watu wanasema nini fuata neno linasema nini wape changamoto hata viongozi wa imani wakupe majibu ambayo hata wewe ukiomba utapata majibu hayo hayo. usikubali kukaa bila kumuona Mungu wakati imeandikwa yupo, ni hatari sana kuka bila kumuona Mungu na ndio maana wengi wanafikia mahali wanasema hayupo maana hawajawahi kumuona na mwisho wa yote ni Jehanamu ya moto.
 
Majimoto a.k.a mama porojo, una hekima sana. Jinsi ulivyo leta hoja na kujibu maswali ya wadau Wengine walikuwa wanauliza maswali very challenging na ya mitego. Mungu akubariki sana.
 
Baada ya uhuru nyerere alionekana kuzisaidia nchi nyingine za Africa kupata uhuru with the slogan kwamba Tanganyika haitakuwa huru mpaka afrika yote iwe huru. Unajua kilichokuwa kinatokea nyuma ya pazia? Alichokuwa anafanya ni kupandikiza viongozi wa kipepo na kuzikabidhi kwenye utawala wa shetani nchi nyingine za afrika.

Pia wakati Tanzania ikiwa inaongoza kwa uchumi Afrika mashariki, alivunja mahusiano ya diplomasia kati ya Tanzania na Israel na kuchagua kuwaunga mkono palestina kinyume na maandiko ya Biblia. Imeadikwa atakaye ibariki Israel atabarikiwa na atakaye ilaani naye hivyo hivyo. miaka michache baadaye Vita na uganda, mara njaa 1974,1984 na matatizo kadha wa kadha mpk leo. Kimsingi wakristo wote ni waisrael, kwa sababu wanayemfuata Yesu ni mwisrael hivyo kuzaliwa upya katika kristo kuna kufanya uwe hivyo automatically. Kenya wakaipokea Israel na kuweka ubalozi wao pale sasa wanatuongoza by far. Mataifa yote ambayo yana uhusiano tu na israel yanaongoza uchumi wa Dunia hii na yana utajiri amani na furaha ya kweli sio mabomu kila siku. Good news ni kuwa tumerudisha ule uhusiano na hopeful things will work. Unakumbuka jamaa walisema tanzania is irrelevant for israel, unafikiri walikosea ni kwa sababu tuliwafukuza long ago? Imeandikwa usihukumu maana siku ya hukumu inakuja na atakaye hukumu ni Mungu mwenyewe sio sisi. Israel wana mpungufu yao kama binadamu lakini kitabu (kinatuagiza) tuibariki so we have to do that for God's sake.
 

Naona umeamua kuanzisha Lijikiwanda la uongo humu JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…