Biashara ya Uchawi Tanzania


huwezi kujua kama wanatumia kwani haya mambo hufanyika sirini,hawatangazi.Mind you ushirikina uko na aina nyingi na level tofauti kutegemeana na mahali ulipo,social status,kipato n.k
 
Naruhusu mchawi yeyote achakachue username yangu anipe jina mimi ni nani na niko wapi.
Sio tunakaa tunakamatana hapa, uchawi upo ila yupo moja ambaye yuko juu ya wote, maana yeye ndiye mwanzilishi wa vyote, na ndiye mwisho. Mchawi atabaki kutumia majini tu kufanya kazi yake ila yule anatazama ulimwengu mzima kwa wakati moja na lolote analolifikiria linakua papo hapo.. Sasa chakachua kwa uchawi wote uniambie mimi ni nani na niko wapi
 
ukitakd uchawi utafanikiwa,ukitmia elim pia utafanikiwa tena mafnikio yakudum sikama ya uchawi yanakoma.Mtegemee mungu
 

Wewe na wenzio mnaopinga dhana ya uchawi, yawezekana mnapinga ili kuonekana mnapinga au basi kuna jambo jingine mnatafuta.

Mimi dini yangu imeandika kwa kuutambua uchawi tangia enzi hizo za wana wa Israel kutolewa misri, tunajulishw kwamba farao alikuwa kaidi asiyetaka kuwaachia wana wa Israel na kwamba katika kushinda na Musa (aliwaita wachawi wake )ili watengeneze fimbo za kugeuka nyoka kama alivyokuwa amefanya Musa kwa uweza wa Mungu.

Kwa imani hii uchawi upo na wazungu ndio wako mstari wa mbele kuu practice, anayesema wasomi hawaamini uchawi ni muongo na kweli haimo ndani yake kabisa!
 
The only principle of real success is 1. Working-hard, 2.Proper time management, and 3. Strong faith to GOD. If u want artificial success through Satanic ways u will get it, but it doesn't exist for a long time and it is accompanied by very difficult terms & conditions like sacrification of human beings and likes.{Shida tunataka mafanikio yasiyo na calculations huo ndo udhaifu wetu japo hatutakiwi kuukubali, mbona ukiwa na imani kuu kwa MUNGU aliye hai utapata kila utakachoitaji...!!}. Watanzania walio wengi hawapendi complications cjui nani aliwadanganya kuwa mafanikio yanakuja kiurahisi kiivo...! wakati hata bibilia iko wazi kuwa "Tangu enzi za Yohana mbatizaji hadi sasa ufalme wa Mungu unapatikana kwa nguvu nao wenye nguvu wauteka, (Ref: Mathayo 11:12...)" sasa wewe unataka ufanikiwe kiurahisi rahisi tu uku hautaki kuchakalika....? Hii mbinu ya kuamini kuwa hakuna mafanikio pasipo shortcuts inalimaliza taifa letu, Real! fuatilia kila anayeingia kwenye mchakato wa utafutaji utakuta mchawi, fisadi au antoa rushwa ya ngono kwa wanawake yaani hadi vyuoni watu wanahonga apewe GPA kubwa huyu mtu asiyependa kujishughulisha ila anapenda kupokea unafikiri akipewa wazifa atafanya nini kama sio ufisadi au kupiga lamli.....! Tujitahidi kuelimishana tu maana mafanikio ya kichawi hayadumu utakula ww peke yako wanao, wajukuu zako watakuwa maskini km kawa labda nao wawe wachawi pia na wote mtaishia kwenda kuzimu....!! TAKE CARE, MTANYWEKA..!!
 
teh....wakina mama wa nyumbani....hapo ndo penye...ukitoka tuu ,,, nao kiguu na njia.
 
Wanafunzi wa la tisa wanafanya nini kwa wachawi? Aka waganga!
 

Wewe unamjua Arafat? Na huyo wa Kigoma nasikia ni mm ni kweli?
 
Jamani huyu member aitwaye Asa'rile amepatwa na maswahibu gani make last activity yake inaonesha September 2013...

Tumemkosa sana...
 
Last edited by a moderator:

Mama Porojo. Ahsante kwa taarifa,Swali langu ni dogo tu;Hivi hata madalali/matapeli nao ni wachawi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…