ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Jana usiku misa ya Pasaka ilikuwa inafanyika Tanga kitanda live on radio. Yule Askofu akasema katika mahubiri yake:watoto wengi wadogo wanatekwa lakini polisi hawatuelezi hatima yao.Tunaombwa tuelezwe isije ikawa kuna ajenda ya siri kuhusu hawa watoto.
Pasaka,Xmas,Maulidi-kuna tofauti gani? Jana ilikuwa Xmas,tarehe 25. Nimeamka asubuhi nimemuta Pope Francis anafanya misa ya kutoa kafara, Kwenye meza ya kafara lilikuwa mimi pale. Pope alikuwa amekunja jo HK o lake na kufunga mafundo lisichafuke kama anavyofanya mtu anapokwrnda kuchinja ng'ombe. Lakini sasa I am too tired. I must go to sleep.
Inaonekana we ni mkuu Wa chuo kimoja wapo cha mambo ya uchawi na ulozi!Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.
Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.
Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.
Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.
bahati mbaya wanajifunza uchawi wa makafara.Mkoa wa Kilimanjaro kwa mwenendo wanaokwenda nao sasa hivi baada ya miaka mitano wataondoka kwenye kundi la wateja wa wachawi na kuingia kwenye kundi la wachawi wakubwa nchini.
Ni kweli Kilimanjaro ni mkoa wenye mafanikio makubwa kielimu na kimapato, baada ya wakazi wengi wa mkoa huo kutaka kupata mafanikio bila mahangaiko wameingia kutafuta uchawi, walianza kutafuta uchawi maeneo ya wilaya ya Same na mkoani Tanga, uchawi wa kuimarisha biashara zao, sasa hivi wengi wapo Tanga na Sumbawanga wakifundishwa ulozi.
Wanaporudi nyumbani baada ya kufuzu mafunzo ya uchawi, huwa wanakuwa washamba kwelikweli, kwani huloga kila kitu, wakikuta mgomba haya twende, mpapai twende, wakikuta mifungo ndipo mahali hasa wanapojaribishia uchawi wao.
Mkoa wa Kilimanjaro sasa hivi ni moja ya mikoa inayogoza kwa utapiamlo nchini Tanzania, hawana muda tena wa kulisha familia zao kila centi inayopatikana inapelekwa kwenye mafunzo ya uchawi.
Kipo kijiji kimoja wilayani Same miaka kumi iliyopita nyumba zote zilikuwa za udongo na nyasi, sasa hivi ni moja ya vijiji vinavyoongoza kwa ujenzi wa nyumba bora za cement na bati, nilikutana na mkazi mmoja wa kijiji hicho akaniambia ukiingia kijijini hapo kila kaya kuna wachagga zaidi ya wawili wanafundishwa uchawi, wanasema kijiji kinakuwa na wageni wengi, baada ya mavuno ya mazao ya mahindi, ulezi na maharagwe, na msimu wa kuuza kahawa unapowadia.
Zinapatikana wapi mkuu? Kipindi cha Kwaresma hiki maombi yasaidie!Sasa zile Software za Dangerous Prayers Tayari.
mwenye moyo wa chuma aniandikie
Acha uboya ww sisi cio wachawibahati mbaya wanajifunza uchawi wa makafara.
Mwenye macho haambiwi ona,boya lipi yale ya kujiokoa mkuu.Acha uboya ww sisi cio wachawi
amaizing!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1Usafiri wa ungo upo wa aina nyingi, upo usafiri wa ungo unaotumia wanyama, upo usafiri wa kutumia fagio, upo usafiri wa kutumia fimbo, upo usafiri wa kutumia ungo.
Wachawi wote wana roho ya uchawi, roho ya uchawi ni roho inayokufanya uweze kupita eneo ngumu na kutokeza upande wa pili, kwa mfano wachawi wanapowanga usiku roho hizi huwafanya kuingia katika nyumba yoyote na kuwafanyia uchawi usiku watu waliolala ndani ya nyumba hizo bila ya kuonekana. Isipokuwa nyumba za walokole haziingiliki kabisa.
Roho za uchawi zinawawezesha wachawi kujibadilisha maumbo yao, kutoka maumbo ya kibinadamu na kugeuka kuwa paka, panya, kunguru n.k.
Wanapotaka kusafiri anakuwa na vifaa vyake vya kichawi, kisha huomba dua akinuizia majini yampeleke sehemu fulani, roho yake ya uchawi na majini humuinua juu angani kwa kasi hadi eneo alilokusudia. Usafiri wa aina hii ni hatari kwani unaweza kutunguliwa kirahizi ukiwa angani.
Usafiri wa kutumia wanyama kama fisi, hutumika kwa nchi kavu tu, hawawezi kuvuka bahari kwenda visiwani au nchi za mbali.
Usafiri wa kasi sana ni wa kutumia fimbo, kabla ya kuanza safari, unaomba dua ya manuizo na kukanyanga incha moja ya fimbo, roho ya uchawi na majini hukuinua juu angani, kama unataka kwenda Nigeria kutoka Dar, utaonyeshwa njia yote ilivyo, kama kuna hatari yoyote huonekana, na inabidi uhairishe safari, kama njia ni nyeupe, unatakiwa ukanyage incha ya pili ya fimbo, na safari huanza kwa kasi ya sauti. Kwa sababu safari ni ya kasi sana na upepo ni mkali sana, kiasi kuwa huwezi kufika ukiwa hai, majini huchomoa roho yako ndani ya mwili wako na roho kukutangulia mbele, mwili wako huikimbiza roho yako ukiwa katika hali ya umauti, unaweza kutumia sekunde 10 kufika Nigeria, lakini ni usafiri wa hatari kuliko zingine, usafiri huu hujulikana kama usafiri wa kujichinja.
Wachawi wa Marekani na bara Ulaya wao hutumia sana usafiri wa fagio.
mbona tupo wengiKwani humu members ni wanga/wachawi?
Avatar yako imekaa kichawi ww unatokea mkoa gani?Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza
Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida
Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera
Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.