Biashara ya Uchawi Tanzania


Pasaka au Christmas?
 
Upo uwezekano aliyekosea ni askofu wakati wa misa na kusema ni misa ya pasaka badala ya xmas na sio mleta uzi
 
Pasaka,Xmas,Maulidi-kuna tofauti gani? Jana ilikuwa Xmas,tarehe 25. Nimeamka asubuhi nimemuota Pope Francis anafanya misa ya kutoa kafara, Kwenye meza ya kafara nilikuwa mimi pale nimelala. Pope alikuwa amekunja joho lake na kufunga mafundo lisichafuke kama anavyofanya mtu anapokwenda kuchinja ng'ombe. Lakini sasa I am too tired. I must go to sleep.It is all very childish kuisimulia. Lakini in this Xmas wakaja Waisraeli wakamwambia Pope Francis,"We dislike you. We strongly urge you to resign,now.Au kama hutaki kujiuzulu,tunakupa masharti manne. Ufanye kazi kwa masharti hayo." Kwa hiyo wanampa hayo masharti ambao sasa siyakumbuki. Sharti moja nadhani ilikuwa afanye kazi lakini asitoke Europe. Kwa ujumla ni masharti ya kurestrict kazi yake. Pope Francis,"I will die on the job." Yaani yeye hatafanya nini wala nini. Kama kuna mtu amekasirika,he can just come and kill him him on the job
Mimi nimelala pale kwenye madhabahu kwa sababu I am feeling very drowsy.Pope Francis extends his hand and touches me with his right fore finger. Ninapojaribu kufikiria tafsiri ya all this.Nadhani kuna tabia mbaya watu wanalala,wanaamka saa nne.saa tankasubuhi.Hii tabia imeenea sana.HHas awatu ambao ni unemployed
Wanauliza "Niamke mapema,niende wapi?" Nadhani Hii ndio tabia ambayo haiwezi kurekebishwa without violence.
 


Nipo chekechea
 
Inaonekana we ni mkuu Wa chuo kimoja wapo cha mambo ya uchawi na ulozi!
 
bahati mbaya wanajifunza uchawi wa makafara.
 
amaizing!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
mama porojooooooooooooooooooooooooooooooo
uko wapiiiiiiiiiiiii mkuuuuu




duuu tunakumisi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Avatar yako imekaa kichawi ww unatokea mkoa gani?
 
Hivi akili Ndogo kutawala akili kubwa!!!! MH nashanga Sana kusikia MTU kipibdi hiki kuongele uchawi kwa kushikilia bango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…