Biashara ya Uchawi Tanzania




Siamini chanzo chako sababu nashangaa sana WANASIASA umewaacha wakati wanaongoza
 
Hii Thread ilikuwa nzuri sijui kimetokea nini mpaka ikafika hapa ilipo.
 


kwa kweli kuna kaukwel apo mm kuna kimono kmoja moshi vijijin nilifika yaan story za apo n uchawi tu. na mtu akianza kufanikiwa tu kimaisha anarogwa, mara mg'ombe, mazao yaan wachawi hapana.
 
wachawi ndo waleta matatizo. je ni mikoa gani kuna vinara wa kutoa uchawi??
 
[emoji23][emoji23] aise .. mambo mazito haya
 
 
Ndugu umesahau Shinyanga na Head quarters zetu Gamboshi
 


KULE GAMBOSHI, BUKOBA NA MWISHO WA RELI SIJAUONA?
AU WAMESAHAULIKA KTKT UTAFITI, SAMPLING ILIKUWAJE?
 
Duh .Yani Shinyanga haimo kwenye orodha?Nina Mashaka na mahali ulipo fanyia utafiti wako
 
Hizo kashfa mjomba.hivyo unavyo viita vyuo vya uchawi madrasa hizo.Madrasa zote hizo ninazifahamu nje ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…