Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

Kuhusu Mbeya umekosea. Mbeya ni mkoa unaoongoza kwa makanisa. Kama vile ilivyo Sinza ambapo kila mtaa kuna kigrosari, basi Mbeya kila mtaa kuna kanisa. Kuna makanisa mpaka ya kifamilia wanasali baba, mama, watoto na majirani.
 
Kuhusu Mbeya umekosea. Mbeya ni mkoa unaoongoza kwa makanisa. Kama vile ilivyo Sinza ambapo kila mtaa kuna kigrosari, basi Mbeya kila mtaa kuna kanisa. Kuna makanisa mpaka ya kifamilia wanasali baba, mama, watoto na majirani.
Ndo wachawi hao balaa, dini zinatumika kama cover
 
Wasiojulikana wamenifanyia hii kitu yani sina Amani kabisa muda wote na hofu pia najitenga na watu.

UCHAWI WA KUMFANYA MTU KUWA NA HOFU MARA KWA MARA NA MTU KUPENDA KUJITENGA PEKE YAKE.
 
Majimoto uko wapi?

Umepotea sana, rudi Bwana.
 
Wasiojulikana wamenifanyia hii kitu yani sina Amani kabisa muda wote na hofu pia najitenga na watu.

UCHAWI WA KUMFANYA MTU KUWA NA HOFU MARA KWA MARA NA MTU KUPENDA KUJITENGA PEKE YAKE.
Pole sana hilo ni tatizo kibwa sana
 
Mkuu hiyo namba nne kuna siri gani hapo? Mbona viongozi sijawaona hapo maana nasikia nao ni wateja wakubwa wa uchawi.
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
VIPI UMESAHAU Wanasiasa
 
Kuhusu Mbeya umekosea. Mbeya ni mkoa unaoongoza kwa makanisa. Kama vile ilivyo Sinza ambapo kila mtaa kuna kigrosari, basi Mbeya kila mtaa kuna kanisa. Kuna makanisa mpaka ya kifamilia wanasali baba, mama, watoto na majirani.
Huijui mbeya vizur mm ndio naishi huku nakujua vizur mbeya yote imejaa mambo ya ajabu sana huwez amn. Kila biashara ni madawa tu.
 
Wanaopinga uchawi wapite hapa pia wasome
Hao hawahawahi kukutana nao au kutembea mm nilienda kijiji kimoja nimekisahau jina karibu na mgololo MUFINDI - Iringa aisee sijawahi kuona kijiji chenye wachawi kama kile daah ata watumish kama walimu wanaofundisha pale wana moyo.
Usiku ikianza saa 5 usiku ukitoka nje angani ni mashindano tu vitu kama vimondo tu ndio vinapishana mpaka saa 9 ndio kunatulia.
Ukikaa vizur na wazee ukawauliza wanakwambia watu wanajaribu mitambo ya usafiri daaaah Hii Dunia iache tu.
 
Hao hawahawahi kukutana nao au kutembea mm nilienda kijiji kimoja nimekisahau jina karibu na mgololo MUFINDI - Iringa aisee sijawahi kuona kijiji chenye wachawi kama kile daah ata watumish kama walimu wanaofundisha pale wana moyo.
Usiku ikianza saa 5 usiku ukitoka nje angani ni mashindano tu vitu kama vimondo tu ndio vinapishana mpaka saa 9 ndio kunatulia.
Ukikaa vizur na wazee ukawauliza wanakwambia watu wanajaribu mitambo ya usafiri daaaah Hii Dunia iache tu.
Sawala, mtwango au mninga
 
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
Na wana JamiiForums kwa ujumla wao
 
Wachawi wa nchi, wanapata msaada wa nguvu ya uchawi kutoka kwa shetani mkuu (Lucifier), Shetani na wasaidizi wake wanaishi ndani ya moyo wa dunia. Kila nchi ina milango ya kushukia kwa mkuu (shetani) na hapa Tanzania milango hiyo ipo sehemu zifuatazo:-

a) Mwanza kando ya ziwa victoria
b) Tabora mjini ndani ya soko kuu
c) Kibirizi, Kigoma kando ziwa Tanganyika
d) Njombe, Iringa
e) Upanga Dar es Salaam
f) Bagamoyo kando ya bahari
g) Pangani, Tanga kando ya bahari.
Mh
 
Walikutana wakiwa wanafunzi kwenye chuo cha uchawi kilichopo Saudi Arabia, Mtanzania alianza kumfundisha jinsi ya kuruka kwa ungo kwa mwendo wa haraka, mazoezi yalikuwa yakianzia Saudia hadi Kigoma. Kwenye mkutano wa wachawi wa dunia uliofanyika kwenye lango la kuzimu la Mustallah Upanga mwaka 1999, Osama alihudhuria, wengine waliokuwepo ni Khomeini wa Iran, Ghadafi, Mfalme Abdullah, Yasser Arafat na viongozi wengi wa nchi za Kiarabu.
[emoji1787][emoji28][emoji23]
 
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
Hivi kuna jamii ina abudu uchawi kwenye hili taifa kama jamii ya wasukuma..? Na kanda ya ziwa kwa ujumla..? Vipi kule sumbawanga. Vipi maiaji ya vikongwe pale shinyanga..? Vipi mauaji ya albino umeyasikia Tanga, kilimanjaro..?
 
Back
Top Bottom