Biashara ya Ununuzi wa Dhahabu

Hii biashara ni tamu ukiwa mwenyeji.huku kwetu lwamgasa mkoa wa geita kwa sasa mambo yamegoma kidogo.makota aka wanunuzi wa dhahabu hawapati mzigo wa kutosha.usipokuwa mwenyeji unaweza ishia kununua mzigo wa laki kwa siku.
Duhh, so demand imezidi supply au imekuwaje?
 
ndugu nawasisitizia muwe makini mno.ikiwezekana zaidi ya umakini.
 
Hhahahahaha, naomba
ndugu nawasisitizia muwe makini mno.ikiwezekana zaidi ya umakini.
Naomba utupe ufafanuzi zaidi kuhusiana na hii issue ya kuwa makini kwa sababu its like u are really very cautious
 
hii siyo biashara ya mchezo mchezo.unaweza lia.kuna aina nyingi za dhahabu.kuna ya kaki na ile ya kaki iliyokoza.ukijichanganya ukanunua dhahabu ya kaki utajuta
 
B

Basi i tink we share dreams and ambitions, tuchangamke basi
Naitamani sana hii biashara ila inachangamoto nyingi ndio maana watu wengi wanaiona biashara ya kimafia na sio hivyo ukijiingiza katika dhuluma unajitia matatani ndio maana wageni wengi wanaifanya sisi tunatumia muda mwingi kujiuliza na kutafakri na so kuchukua atua.nami nataka kujua changamoto nisubutu kuifanya.
 


usijali mkuu tunasaidiana hizo mbinu ni sahihi na zaidi ya hapo ujue mbinu unayoiwazia mwenzio keshaitafutia solution ili akuibie
kwenye madini kuingia chaka ni rahisi sana inahitaji usome mazingira vizuri mfano unatakiwa uwepo kwenye hayo machimbo for while

HAPA DAR WENGI WANAUZA DHAHABU FEKI MZUNGU NA UELEWA WAKE ULE ANALIZWA mnaipeleka kuichek kwenye mashine seimic inakubali kumbe feki ingia kwenye mchezo nina imani utajifunza na utaweza only kuwa careful
 
Picha haionekani vizuri sana kwa hiyo si rahisi kujua ni jiwe gani. Labda utuambie limepatikana sehemu gani (huko wapi)?
 
hapo vipi inaonekana vizuri maana sina utaharamu wa kupiga picha
 
hapo vipi inaonekana vizuri maana sina utaharamu wa kupiga picha
Ina rangi ya kujani lipo kama chupa alafu inahakisi mwanga vile yaani kama kioo ndani ukiangali ina rangirangi ya chokleti kwa mbali nihayo tu
 

Tanga sehemu gani mkuu.. Na hapo kwenye kuuziwa feet kadhaa sh laki tatu, unaweza kufafanua kidogo mkuu. Vipi kuhusu gharama za uchimbaji nakadhalika? With much thanx in advance.
 
Mkuu hii mashine inauzwa wapi?
 
umemshauri vyema.tanga dhahabu ipo handeni sehemu initwa magambazi.au mkata sehemu inaitwa manga ;amani na kwingine kwingi.na purity yake nzuri sana.ila naendelea kusisitiza usiende kichwa juuu utalipuliwa
 
Mkuu hii mashine inauzwa wapi?

kila kitu kipo mkuu nakushauri nenda kariakoo kamuulizie huyo Omari ndani ya soko kuu ni ofisi yake pekee inayohusika na mADINI mle ndani utasaidiwa kila kitu mkuu kikubwa kama unaipenda nawe hii bussiness soma mazingira kwanza
 
umemshauri vyema.tanga dhahabu ipo handeni sehemu initwa magambazi.au mkata sehemu inaitwa manga ;amani na kwingine kwingi.na purity yake nzuri sana.ila naendelea kusisitiza usiende kichwa juuu utalipuliwa

pamoja mkuu hii bussiness akiwa committed ina faida kubwa sana but umakini utapeli mwingi sana nadhani kuliko industry zote nizijuazo chanzo wengi tunakosa taarifa kabla hujaingia
 
Tanga sehemu gani mkuu.. Na hapo kwenye kuuziwa feet kadhaa sh laki tatu, unaweza kufafanua kidogo mkuu. Vipi kuhusu gharama za uchimbaji nakadhalika? With much thanx in advance.

thanks umejibiwa Handeni fanya study kwanza mkuu ila vibarua unawalisha wewe na ni makubaliano wakipata dhahabu wanakuuzia wewe kwa nusu bei mengine utayajua ukiingia HAPA USIHOFU SANA KUHUSU MTAJI mimi yule jamaa alinambia tafuta 3m uingie but sijawa interested katika field hiyo kikubwa ina pesa ukisimama vizuri na ukawa makini KULIKO HIYO UNAYOTAKA KUNUNUA MKONONI ITAKU COST SANA MKUU kama bado hujaijua vizuri dhahabu utapeli mwingi ya kuchimba mwenyewe una uhakika ni yenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…