Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
Ina rangi ya kujani lipo kama chupa alafu inahakisi mwanga vile yaani kama kioo ndani ukiangali ina rangirangi ya chokleti kwa mbali nihayo tu
wrong! masonara hawajui gemstone mzee.watakufanyia mchezo wa ajabu.tafta mtu mwenye idea ya mawe atakushauri.tafta mabroker watakupa ideasnenda kwa masonara ukaipime mkuu watakuambia ni nini
Sawa ila hao mabroker nitawapata wapi mkuu?wrong! masonara hawajui gemstone mzee.watakufanyia mchezo wa ajabu.tafta mtu mwenye idea ya mawe atakushauri.tafta mabroker watakupa ideas
Khasante mkuu kwz muongozo kwa hiyo iliyokuwa na soko no ya rangi ya kaki iliyopauka? Tufafanulie hapohii siyo biashara ya mchezo mchezo.unaweza lia.kuna aina nyingi za dhahabu.kuna ya kaki na ile ya kaki iliyokoza.ukijichanganya ukanunua dhahabu ya kaki utajuta
Hi there,Vp washikaji?
Mimi nipo Dar na ningeomba kujuzwa maeneo gani mtu anaweza kununua dhahabu katika small scale. Mimi ni mwajiriwa wa kamouni flani ila nataka kuimarisha financial position yangu, kwa hivo nilitegema kununua dhahabu kwa bei ya chini kule mikoani na kuleta hapa Dar kuwauzia major dealers hapa Dar.
Kwa sababu mtaji wangu mdogo, ningetaka kuanza small scale, labda kununua kwa viwango vya gramu kadhaa mwanzoni. Kwa hivo naomba msaada wenu marafiki.
Nimeambiwa kwamba Kahama wapo wachimbaji wadogo wadogo, pia Geita. Asanteni sana arif zangu
Dhahabu yako ni ya aina gani, vikole (gold nuggets) au ya mwamba (imekamatishwa na mercury). na ni ya purity gani?Hi there,
Mimi niko kwenye biashara ya small scale mining hapa katavi
Tunapata kiasi kidogo cha gold na tunauza kwa local buyers walioko hapa kwa sh 65,000 kwa gram. Kama uko tayari kupanda sh 5000 zaidi ninaweza kukuuzia na wewe ukauza kwa best buyers dar
Call me on 0767659145
kishakimbia huyo.Dhahabu yako ni ya aina gani, vikole (gold nuggets) au ya mwamba (imekamatishwa na mercury). na ni ya purity gani?
mm mwenyew nataka nizame Moro kulima mpunga kwa mdau anaejua bei ya kukodi shamba sas hivi Moro atuambie
Kwa wale wakulima wazoefu wampunga naombeni ushauri juu ya kilimo ichi husuasani gharama zake kuanzia
kukodi shamba mpaka mavuno na storage kwa eka moja, vilevile maeneo muhafaka kwa kilimo hiki.
Tunachimba kwenye mwamba na tunatumia mercury kusafishia, purity ni 92%Dhahabu yako ni ya aina gani, vikole (gold nuggets) au ya mwamba (imekamatishwa na mercury). na ni ya purity gani?
Sina sababu ya kukimbia, najua ninachofanyakishakimbia huyo.
Kabla ya kuanza hiyo biashara, ulishawahi kuona au waweza kutofautisha kati ya gold, pyrite na charcopyrite?Vp washikaji?
Mimi nipo Dar na ningeomba kujuzwa maeneo gani mtu anaweza kununua dhahabu katika small scale. Mimi ni mwajiriwa wa kamouni flani ila nataka kuimarisha financial position yangu, kwa hivo nilitegema kununua dhahabu kwa bei ya chini kule mikoani na kuleta hapa Dar kuwauzia major dealers hapa Dar.
Kwa sababu mtaji wangu mdogo, ningetaka kuanza small scale, labda kununua kwa viwango vya gramu kadhaa mwanzoni. Kwa hivo naomba msaada wenu marafiki.
Nimeambiwa kwamba Kahama wapo wachimbaji wadogo wadogo, pia Geita. Asanteni sana arif zangu
ni pm kama upo dar kuna mtu nitakuunganisha nae.atakupa idea nzuru ya gemstone!!ila mkishaongea usijejiona umefuzu ukatoka hpo na kukimbilia matombo kununua mzigo.ficha pesa yako mbali uisome biashara.tfta mtu anaeyajua mawe kua nae karibu akufundishe mchezo.na deal na aina chache tu.usipapalike kutaka kujua mawe aina zote.all da bestSawa ila hao mabroker nitawapata wapi mkuu?
Kiongozi habari yako?Vipi ulifanikiwa kuanza biashara ya dhahabu?Vp washikaji?
Mimi nipo Dar na ningeomba kujuzwa maeneo gani mtu anaweza kununua dhahabu katika small scale. Mimi ni mwajiriwa wa kamouni flani ila nataka kuimarisha financial position yangu, kwa hivo nilitegema kununua dhahabu kwa bei ya chini kule mikoani na kuleta hapa Dar kuwauzia major dealers hapa Dar.
Kwa sababu mtaji wangu mdogo, ningetaka kuanza small scale, labda kununua kwa viwango vya gramu kadhaa mwanzoni. Kwa hivo naomba msaada wenu marafiki.
Nimeambiwa kwamba Kahama wapo wachimbaji wadogo wadogo, pia Geita. Asanteni sana arif zangu
Wewe The Richards, NI TAPELI. Najua wengi mtashangaa kwanini nimesema hivi, kwa namna unavyojitahidi like kumpa jamaa precautions za kutosha. Anyway, Lakini jua hivyo kuwa wewe si mtu mzuri. Naongea hivi kwa kuwa nina uzoefu wa kudeal na watu kama wewe, mentality Yao naijua, dhahabu naijua, utafutaji wao hao wapigaji ninaujua kuliko kawaida. But believe me wewe ni MPIGAJI. Kuweni makini na huyu Rafiki.Kabla hujaingia mkuu tafuta muda kutembelea japo masonara dar uijue kuna wizi Mkubwa kwenye dhahabu
Ukifuatilia utanunua Mashine ile ni digital inapima Na kutambua madini yote kwa kuanzia nenda pale Kariakoo soko kuu hili Lango la mbele kueleke kwenye vile vyoo mle ndani kuna ofisi
Ulizia Omari atakusaidia anahusika Na hiyo business Na atakujuza vizuri
Mimi pia nahusika nazo but njia ya pili
Wote unaowajua hapa dar wengi wapo kwenye hizi fake kuwa makini sana
Sisi tunauza kwa kilo moja 23000usd
Kwa zile original gram moja ilikuwa 67tsh but kaulizie vizuri mkuu
Wewe The Richards, NI TAPELI. Najua wengi mtashangaa kwanini nimesema hivi, kwa namna unavyojitahidi like kumpa jamaa precautions za kutosha. Anyway, Lakini jua hivyo kuwa wewe si mtu mzuri. Naongea hivi kwa kuwa nina uzoefu wa kudeal na watu kama wewe, mentality Yao naijua, dhahabu naijua, utafutaji wao hao wapigaji ninaujua kuliko kawaida. But believe me wewe ni MPIGAJI. Kuweni makini na huyu Rafiki.
Asanteni.
Utapeli huu naujua vizuri sana. Na Hata baadhi ya machine haziwezi kusaidia kugundua feki au reall, Na Mimi licha ya kuijua nimekaa kwa migodi mzee. Wewe believe me ni TAPELI, kwanza, dalilili ya utapeli wako ni je. Inawezekana vipNadhani mkuu limekuuma nahisi wewe ndie miongoni mwao usijifanye unaijua dhahabu ili hali watu wanapigwa kuwa na huruma mkuu
mwenzio kaipata pesa kwa shida kumwambia atafute mashine ni utapeli huo? kuwa makini mkuu NA FIKIRIA MARA MBILI KABLA HUJAJIBU MKUU
BIASHARA YENYE UTAPELI NAMBA MOJA NI MADINI KWANINI USISEME UNA NI ATTACK SIO HIVO wewe mkubwa na huenda una watoto
6. Katika statement yangu ni wapi nimesema naijua dhahabu mpaka wewe useme kuwa najifanya naijua dhahabu? [emoji4] [emoji4]Nadhani mkuu limekuuma nahisi wewe ndie miongoni mwao usijifanye unaijua dhahabu ili hali watu wanapigwa kuwa na huruma mkuu
mwenzio kaipata pesa kwa shida kumwambia atafute mashine ni utapeli huo? kuwa makini mkuu NA FIKIRIA MARA MBILI KABLA HUJAJIBU MKUU
BIASHARA YENYE UTAPELI NAMBA MOJA NI MADINI KWANINI USISEME UNA NI ATTACK SIO HIVO wewe mkubwa na huenda una watoto