Habari zenu,
mimi ni graduate Kutoka chuo kikuu hapa Tanzania,ninataka kujiajiri kwa kuanzisha kiwanda cha mikate,wazo hili limekuja kutokana na wilaya niliyopo kutokuwa na kiwanda hata kimoja cha mikate kwani hutegemea mikate kutoka nje ya wilaya.
Kutokana na masomo niliyosoma chuo kikuu,nikaona bora nijiajiri huku kwani ndio fani yangu kubwa.
Ninaomba ushauri na msaada wapi nianzie?
Hongera Mkuu!
Karibu kwa ajili ya kupata huduma zote za ushauri katika masuala ya biashara
Miongoni mwa huduma zetu ni pamoja na
1. Kukusaidia kusajili kampuni katika taasisi zote kama BRELA TRA, TFDA na TBS
2. Kuandika 'Memorandum & Article of Association' kwa kampuni zote
3. Kuandika 'Business Proposal' na 'Business Plan'
4. Ushauri wa kibiashara na nyingine nyingi
Kwa mashauriano usisite kutuandikia katika barua pepe:iconsultbuzness@gmail.com
i-Bussiness Consult
"Reach New Heights"
Habari zenu,
mimi ni graduate Kutoka chuo kikuu hapa Tanzania,ninataka kujiajiri kwa kuanzisha kiwanda cha mikate,wazo hili limekuja kutokana na wilaya niliyopo kutokuwa na kiwanda hata kimoja cha mikate kwani hutegemea mikate kutoka nje ya wilaya.
Kutokana na masomo niliyosoma chuo kikuu,nikaona bora nijiajiri huku kwani ndio fani yangu kubwa.
Ninaomba ushauri na msaada wapi nianzie?
Hongera Mkuu!
Karibu kwa ajili ya kupata huduma zote za ushauri katika masuala ya biashara
Miongoni mwa huduma zetu ni pamoja na
1. Kukusaidia kusajili kampuni katika taasisi zote kama BRELA, TRA, TFDA na TBS
2. Kuandika 'Memorandum & Article of Association' kwa kampuni zote 'limited by shares'
3. Kuandika 'Business Proposal' na 'Business Plan'
4. Ushauri wa kibiashara na nyingine nyingi
Kwa mashauriano usisite kutuandikia katika barua pepe:iconsultbuzness@gmail.com
"Reach New Heights"
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app