Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

Shukrani sana
 
Average ni sh ngap per day? Ya mkataba.
 
Na jumapili ikiwemo au jtatu mpka jmosi tu?
Siku alipokuwa anaipack nyumbani halipi maana hajaingiza. Mimi ni tozo la wiki nililofuatilia. Nikishapewa slip ya bank basi. 120,000.
 
Ishu ya bima imekaaje?
Siku alipokuwa anaipack nyumbani halipi maana hajaingiza. Mimi ni tozo la wiki nililofuatilia. Nikishapewa slip ya bank basi. 120,000.
 
Ishu ya bima imekaaje?
Ukichukua ile bima kubwa itasaidia ila je una uhakika kama mtu wako akipata ajali utalipwa? Chukua ile ambayo ni basic lakini ni wewe siyo dereva. Inabidi uhangaike mpaka mwisho ndo umkabidhi bajaji.

Even next year you have to pass through the same torture ndo maana ukinunua bajaj kama siyo wewe unaendesha, itumie mwaka mmoja then mpe mtu mkataba achana nayo. Serikali inasumbua.
 
Wapendwa mwenye sample ya mkataba wa bajaji naomba.
 
T
TVS KING NDIO ZIPO KAMA YAI KWA MBELE?
 
Mkuu, nimeona ushauri wako ni mzuri. Kuna issue ya kuingia mkataba na Dereva baada ya miaka kadhaa Bajaji inakuwa yake, je inaweza kusaidia ajitume na kuitunza Bajaji?
 
Mkuu, nimeona ushauri wako ni mzuri. Kuna issue ya kuingia mkataba na Dereva baada ya miaka kadhaa Bajaji inakuwa yake, je inaweza kusaidia ajitume na kuitunza Bajaji ?
100% yeah kama akijua baada ya muda fulani itakuwa yake then lazima ataitunza vizuri ili akitaka kuiuza aje aiuze kwa ei nzuri. Halafu itakuondolea stress mmiliki.

Nakushauri ukinunua then wape kwa mkataba itakua poa zaidi.
 
Dear friends, habari za majukumu?

Nataka kununua bajaji ya abiri ila sina uzoefu na hii biashara so naomba ushauri kwa mambo yafuatayo:

1. Bajaji mpya ina uwezo wa kukaa baranarani mda gani bila kuanza hitirafu za hapa na pale?
2. Ni aina ipi ya bajaji inafaa kwa jiografia ya Iringa munispal?(vijilima)
3.Na nichangamoto zip nijiandae kukabiliana nazo?
4. Na je kunaulazima wa kununua bajaji mpya?

Naomba kuwasilisha
 
Kwa mipango yako unataka ifanye kazi mkoa gani?
 
Mkuu mimi sipo Iringa ila niseme tu kama mazingira uliyopo kuna uhitaji basi utagipa hela nzuri tu Iwapo utakuwa unaendesha mwenyewe.

Kuhusu changamoto. Ongea na waendesha Bajaj hapo mtaani kwako mkuu.... Itakuwa rahisi kuelewa zaidi changamoto katika eneo lako.

Ila kifupi Bajaj ni biashara nzuri ukiwa unaendesha mwenyewe.

Iwapo utatafuta kijana basi jiandae kuwa mkali kwelikweli au upate kijana anajielewa sana.

Ni hayo tu.
 
7,000,000/= bei ya kununua
20,000= kipato kwa siku × siku 5 za wiki × mwaka
5,200,000/=
Ingiza mambo mengine kama services, vibali, bima nk.
Mwisho ndani ya miaka miwili ndo unarudisha hela uliyonunulia
Iuze ili ununue nyingine utaiuza kwa sh. zisizoidi
2.5 M.
 
Miradi ya vyombo vya moto ina changamoto sana. Fanya kama pesa ni ya kwako. Ila kama umekopa, ipo siku unaweza ukatembea na chupi kichwani!

Bado sijasahau nimelala, saa kumi alfajiri napigiwa simu niende kituoni, Hiace yangu niliyoinunua hata mwezi haujaisha imepata ajali.

Nilienda kimy kimya kituoni nikaichekii, nikapotea kama mwezi kwanza mambo yapoe poe. Nakwambia nilitoka nyumbani na ndala. Kituo cha dala dala nilikiona kiko mbali utadhani Dar na Chalinze.

Nikiangalia hata rejesho moja sijarudisha na chombo ndio kishakula mzinga!
 
Pole sana kiongoz!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…