Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

Nawasalimu wakuu woote wana JF.Mwenzenu nimepata kamshiko km 8m sasa ninataka ninunue bajaj najua hapa mjini dar zinatumika sana,naomba kwa yeyote mwenye uzoefu anisaidie ni shs ngapi dereva anatakiwa alete kwa siku?au week? nashukuru naelewa humu ndani wapo wengi wanaofanya hii biashara!!je does it worth?asanteni sana nasubiri majibu hapo chini!!
Vipi mkuu ulishanunua bajaj
 
Bora undeshe mwenyewe utaiona faida Kubwa zaidi,kumpa mtu mwingine ni stress ++.
 
Kwaupande wangu kuliko Bajaji 1 tuchukulie mpya, ya milioni 7.2 bora ukanunua pikipiki aina ya Boxer 3, kwa milioni 6 na laki 6. Zitakulipa zaidi hasa kama unazitoa kwa mkataba.
 
Kwaupande wangu kuliko Bajaji 1 tuchukulie mpya, ya milioni 7.2 bora ukanunua pikipiki aina ya Boxer 3, kwa milioni 6 na laki 6. Zitakulipa zaidi hasa kama unazitoa kwa mkataba.
Wazo zuri zaidi, binafsi bajaji ni very expensive nadhani hio bei kwa kuagiza mwenyewe india waweza nunua bajaji mbili town.
 
Wazo zuri zaidi, binafsi bajaji ni very expensive nadhani hio bei kwa kuagiza mwenyewe india waweza nunua bajaji mbili town
Kwenye kuagiza unaweza hata ukanunua 3. Tatizo inakuja hapa kwetu kwenye maswala ya Bandarini na T.R.A yaani shida tupu. Mimi kuna jamaa alitaka kunitumia gari kutokea MAYOTTE, nilishindwa kuileta hapa. Inge ozea bandarini.
 
Kwenye kuagiza unaweza hata ukanunua 3. Tatizo inakuja hapa kwetu kwenye maswala ya Bandarini na T.R.A yaani shida tupu. Mimi kuna jamaa alitaka kunitumia gari kutokea MAYOTTE, nilishindwa kuileta hapa. Inge ozea bandarini.
Jamaa wanatunyonga sana
 
Pilipiki na bajaj ingia mkataba na dereva fanya mahesabu unahitaji kiasi gani na faida baada ya hapo inakuwa yake ndio drevs ataitunza vizuri
 
Wanajamii wenzangu, nimeoa wazo la kununua bajaj 3 kwa mkupuo nifanye biashara ambayo kwa siku nitakua naingiza kiasi cha shilingi elfu 60.

Tafadhali kabla ya kununua naomba mnipe mawazo yenu je biashara sahihi au nibadilishi biashara? Nawekeza kiasi cha milioni 15
 
Back
Top Bottom