Tarakilishi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 2,181
- 2,448
Huo ni ushauri kwa watu waoga tu na ambao hawako tayari kukabili changamoto. Kila mwaka utakuwa unabadili madereva!?huu ndio ushauri mzuri, ukitegemea kumuweka mtu akuletee tu ni kazi bure, mi hii kitu ilishaniliza, niliweka mtu ikawa ni usumbufu tu mwishowe nikauza, kama vipi unaweza endesha mwenyewe for supernormal profit