oscar classic
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 731
- 1,367
Pamoja.... nimekuelewa Kiongozi; umeeleweka vyema sana. Asante sana kwa ufafanuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja.... nimekuelewa Kiongozi; umeeleweka vyema sana. Asante sana kwa ufafanuzi.
Ha ha ha! Na ndoto zote za utajiri zikaota mbawa! Kwa huo mwezi total transactions zilizopelekea gawio la 24K ilikuwa kama how much Chief? Just rough est.Mi nilipata 24,000 😂😂😂 line ikapoteaga
Mnanitisha wakati nataka kuianza hii Biashara.Mi nilipata 24,000 😂😂😂 line ikapoteaga
Dah acha tu transaction zilikuwa zinafika almost 45M maana nilikuwa nimeitega line ofisi ya utalii ambako jamaa alikuwa analipa Ma Guide na ma Porter!Ha ha ha! Na ndoto zote za utajiri zikaota mbawa! Kwa huo mwezi total transactions zilizopelekea gawio la 24K ilikuwa kama how much Chief? Just rough est.
Hio biashara iliingiliwa mdudu ilivyoanza kupigwa kodi za ajabu 😁 ndio kipindi ambacho line ziliuzwa kwa kasi sana hapa nchini. Kila upande unasikia flani anauza line ya M-PESA mara kule flani anauza line ya TIGOPESA watu waliuziana sana line. Biashara ilikuwa ndio imeishia pale walipoanza kuminya commission!Mnanitisha wakati nataka kuianza hii Biashara.
Voda washenzi sanaDah acha tu transaction zilikuwa zinafika almost 45M maana nilikuwa nimeitega line ofisi ya utalii ambako jamaa alikuwa analipa Ma Guide na ma Porter!
Nikajisemea tu Voda kumaniokor😂
Mkuu ni kweli toka jamaa aingie bishara imeharibika kabisaHio biashara iliingiliwa mdudu ilivyoanza kupigwa kodi za ajabu 😁 ndio kipindi ambacho line ziliuzwa kwa kasi sana hapa nchini. Kila upande unasikia flani anauza line ya M-Pesa mara kule flani anauza watu waliuziana sana line.
Zamani commission line moja tu kabla watu hawajawa wengi watu walikuwa wanafungasha laki 5-7 ukiwa nazo mbili una uhakika wa 1.4-1.6M ila toka ujinga ukikusanya 150K ujue we mwanaume na kazi kweli umepiga 😂😂😂Mkuu ni kweli toka jamaa aingie bishara imeharibika kabisa
... yaani transactions za 45M gawio 24K? Duh! Ndio maana hii kitu sikuwahi hata kuitilia maanani kama kitu cha kufanya. By the way, watu wanakuona umejaza rambo la hela kumbe hela za watu; chako 3,458/-. Biashara ya kuweka risk maisha yako hovyo sana.Dah acha tu transaction zilikuwa zinafika almost 45M maana nilikuwa nimeitega line ofisi ya utalii ambako jamaa alikuwa analipa Ma Guide na ma Porter!
Nikajisemea tu Voda kumaniokor😂
Hio biashara niliitamanigi ila upumbavu mtupu! Nikauliza wadau wakaniambia labda sababu ulikuwa unafanya biashara na watu hao hao nikaona what the https://jamii.app/JFUserGuide ishu ni watu au miamala?... yaani transactions za 45M gawio 24K? Duh! Ndio maana hii kitu sikuwahi hata kuitilia maanani kama kitu cha kufanya. By the way, watu wanakuona umejaza rambo la hela kumbe hela za watu; chako 3,458/-. Biashara ya kuweka risk maisha yako hovyo sana.
Mcheki lokoleNaitaji line ya tigo
IpoNaitaji line ya tigo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maninaa ,,mcheki lokole
Line 600k ???????Mwaka 2013 Nilinunua line ya tigo pesa tu 600,000(laki 6) kamisheni nikawa napokea 60k(elfu sitini) ile line ikapotea
Sasa iyo miamala watu wanaipiga kwa siku moja tu alafu yeye kaipiga kwa mwezi huoni kwamba ufanyaji kazi wake au location yake ndo vya hovyo mkuu???... yaani transactions za 45M gawio 24K? Duh! Ndio maana hii kitu sikuwahi hata kuitilia maanani kama kitu cha kufanya. By the way, watu wanakuona umejaza rambo la hela kumbe hela za watu; chako 3,458/-. Biashara ya kuweka risk maisha yako hovyo sana.
Sasa mkuuu!! Huoni kuwa miamala 45 ni ulifanya michache sana kwa mwezi???? iyo 45 watu wanaifanya kwa siku na zaidiWasenge kweli yani! Hio biashara niliitamanigi ila upumbavu mtupu! Nikauliza wadau wakaniambia labda sababu ulikuwa unafanya biashara na watu hao hao nikaona what the **** ishu ni watu au miamala?