Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Faida inategemea unafanya biashara maeneo yenye mzunguuko wa pesa kiasi gani pamoja na kiwango chako cha mtajiNdugu zangu je uwakala wa pesa kwa njia ya simu na bank unalipa?
Je malipo yakoje?
Faida ikoje?
Hasara nayo vipi?
Zipi changamoto zake?
Kumekuwa na idadi kubwa sana ya wanachi kujiingiza katika biashara ya wakala wa pesa kwa njia ya simu na bank, je faida inayopatikana ndiyo inayoshawishi wananchi kuwa wakala ama ni ugumu wa maisha unapelekea wanachi kufanya biasha yeyote pasipokujali maslahi?
Sawa sawa, hili swala la chuma ulete ni kweli lipo? Huwa inakuaje ama mtu ataona matukio gani ali atambue kuwa ana chuma ulete?Faida inategemea unafanya biashara maeneo yenye mzunguuko wa pesa kiasi gani pamoja na kiwango chako cha mtaji
Umakini mkubwa unahitajika maana utapeli na Chuma ulete ni wengi saana
Changamoto kubwa ni kupata vijana waaminifu wa kufanya Kazi wengi ni wezi na huwa wanatoroka na kiasi kikubwa cha pesa
Hakuna biashara isiyo na faida
Welcome
Hii biashara nimeifanya na mwez wa tatu huu,sema ukweli ukiwa naa location nzur utapata pesa ya kula hukosi,mm na kimtaji changu cha ml 1.5 napata faida had ya laki 4 per month lkn apo unakua mjanja saiv unatumia na lipa kwa lkn mtu akiwa na mtaji kuanzia ml 5 ad 7 kwa uwakala tu wa mitandao tfaut na ubanker unapiga pesa nzuri tu ukiwa na location nzur,sema kwa sasa kody 10% inakata sana harafu chngmto n wez nmeibiwa kama laki 2 na nusu n kitu knarudaha nyuma sana lkn ukiwa makin hukosi pesa yaa kujkimInasikitisha kuona watu wamelike kabisa comment yako. Wewe bila shaka sio mfanyabiashara wala huna uelewa wa kutosha wa biashara
doh yan 4m mtu analambwa shaba kweli.Eeh on the spot familia ikapoteza mtu mbili
Kama Panyarodi anaweza kukumaliza kwa kumiliki kswaswadU tu unafikiri million 4 atakufanyaje akikuta nayo?doh yan 4m mtu analambwa shaba kweli.
hapa nmejifunza kitu unaweza kuona unatembea na hela ndogo kumbe risk kubwa
Bei ganiTANGAZO
Kwa wahitaji wa laini za uwakala zenye majina yao natengengeza hizo kwa muda muchache inakamilika ndani ya masaa 24.
Laini zinatengenezwa ni kama zifuatazo:
NB malipo ni baada ya kazi[emoji736][emoji736]
Wasiliana na wakala wako mkuu ,Line zangu Airtel na Tigo zimefungiwa kufanya miamalaa sababu nina muda sijazitumia je, naweza kuzi activate????
shukrani boss... naweza jua wakala wangu mkuu maana nilifanyiwa maujanja na mtu tu mkuuWasiliana na wakala wako mkuu ,
Yes,zinafunguliwa.
Sio yule aliyekuwa na banda nyingingyingi pale stand ya zaman kabla ya bomoa bomoa??Kuna classmate wangu mmoja kigamboni wadogo zake wawili walikula shaba getini kwao kabisa! Wajuba wakabeba million 4
🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁Wapendwa hali zenu?
Naomba kujua namna na ni kiasi gani ninaweza kupata uwakala wa Mpesa, Tigopesa na Airtel money.
Tayari nimesha sajili jina la biashara, lesen na Tin.
Niko,
Wilaya ya Ilala,
Kata ya Msongola,
Mtaa wa Mvuleni,
Dar es Salaam.
Utapeli at it's best![emoji320][emoji320][emoji320][emoji320][emoji320][emoji320][emoji320][emoji320][emoji320][emoji320]
HIVI MPAKA SASA KUNA MTU HANA ANAHITAJI LAINI ZA UWAKALA NA BADO HAJAPATA USIJALI HUJACHELEWA NJOO NIKUHUDUMIE
[emoji3463] HALOPESA
Masaa 12 Done[emoji736]
[emoji3463] TIGOPESA
Masaa 12 Done[emoji736]
[emoji3463] AIRTEL MONEY
Masaa 4 Done[emoji736]
[emoji3463] LIPA KWA MPESA
[emoji3463] TIN NAMBA APPLICATION 5000
[emoji419] VIGEZO
[emoji3465] KITAMBULISHO CHA NIDA AU MPIGA KURA
[emoji3465]TIN NAMBA CERTIFICATE
[emoji746] MALIPO NI BAADA YA KAZI
KIPAUMBELE NI KAZI KWANZA
[emoji336]0769020432
hii biashara ni nzuri lakini inatakiwa iwe na vitu vingine ku support. usiitegemee utachemka mapemaWapendwa hali zenu?
Naomba kujua namna na ni kiasi gani ninaweza kupata uwakala wa Mpesa, Tigopesa na Airtel money.
Tayari nimesha sajili jina la biashara, lesen na Tin.
Niko,
Wilaya ya Ilala,
Kata ya Msongola,
Mtaa wa Mvuleni,
Dar es Salaam.