Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Ndugu zangu je uwakala wa pesa kwa njia ya simu na bank unalipa?
Je malipo yakoje?
Faida ikoje?
Hasara nayo vipi?
Zipi changamoto zake?
Kumekuwa na idadi kubwa sana ya wanachi kujiingiza katika biashara ya wakala wa pesa kwa njia ya simu na bank, je faida inayopatikana ndiyo inayoshawishi wananchi kuwa wakala ama ni ugumu wa maisha unapelekea wanachi kufanya biasha yeyote pasipokujali maslahi?
Je malipo yakoje?
Faida ikoje?
Hasara nayo vipi?
Zipi changamoto zake?
Kumekuwa na idadi kubwa sana ya wanachi kujiingiza katika biashara ya wakala wa pesa kwa njia ya simu na bank, je faida inayopatikana ndiyo inayoshawishi wananchi kuwa wakala ama ni ugumu wa maisha unapelekea wanachi kufanya biasha yeyote pasipokujali maslahi?